ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,261
Kwa mama Tume qualify 3 timeshehehehhehe yani ChoiceVariable anafkiri tanzania haijawah ku qualify AFCON sasa atuambie 1980 tanzana iliingia kwa nguvu ya nani???😂😂😂😂😂
tanzania ishafuzu mara kadhaa sio juzi wala leo tunachohitaj taifa stars ifike walau robo fainali, tuwe na academy za mpira sio tunatumia pesa nyingi kuwapa posho wachezaji yet huku chini kumeoza hatuna zao lakimpira totaly