Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Huwa unafikiria hatujui wewe ni mwalimu?Wewe kijana nyang'au unachekesha sana😁
Huwa unafikiria hatujui wewe ni mwalimu?Wewe kijana nyang'au unachekesha sana😁
Afadhali nikuache na utoto wako wa kinyang'au😎Huwa unafikiria hatujui wewe ni mwalimu?
Why are you ashamed of your profession? Kwani ulikazimishwa kuwa mwalimu?Afadhali nikuache na utoto wako wa kinyang'au😎
Huyo mimi nilichoka kumjibu. 😂 😂NairobiWalker naona kuna kazi hapa😂. Naona huyu fukara ameenda kutafuta barabara kwa msitu😂😂
Bado unachekesha😎Why are you ashamed of your profession? Kwani ulikazimishwa kuwa mwalimu?
Yani udownload video mtandaoni utandanganye sisi ambao tumetembea hizo sehemu? Kuna Border Moshi? 😂 😂 Mnapenda kujifanya wajuaji sana na uongo uongo. Hapo ni Illasit wee poyoyo. Kutoka Moshi hadi hapo takriban 80km.Moshi
Sawa mwalimu.Bado unachekesha😎
Watanzania wanapenda kudownload pictures na kujidanganya nazo😂😂😂.Yani udownload video mtandaoni utandanganye sisi ambao tumetembea hizo sehemu? Kuna Border Moshi? 😂 😂 Mnapenda kujifanya wajuaji sana na uongo uongo. Hapo ni Illasit wee poyoyo. Kutoka Moshi hadi hapo takriban 80km.
Halafu kabisa umeongeza story eti ulikuwa na demu wa Kikamba. Unatamani sana dem wa Kikamba eeh?😂😂
That leave with a question if the guy really know Tanzania well😂😂Yani udownload video mtandaoni utandanganye sisi ambao tumetembea hizo sehemu? Kuna Border Moshi? 😂 😂 Mnapenda kujifanya wajuaji sana na uongo uongo. Hapo ni Illasit wee poyoyo. Kutoka Moshi hadi hapo takriban 80km.
Halafu kabisa umeongeza story eti ulikuwa na demu wa Kikamba. Unatamani sana dem wa Kikamba eeh?😂😂
Tuendelee kijana wangu😁Sawa mwalimu.
Huwa anatupostia hapa picha eti ako majuu. Naona kama anaambianga mtu ampigie picha amtumie. 😂😂😂.Watanzania wanapenda kudownload pictures na kujidanganya nazo😂😂😂.
Nimeona hadi amedownload videos za Ngong’ road akisema ati ni Moshi😂😂
Alafu ipo mahali commercial ambapo unategemea pakuwa na standards za juu za ujenzi. Alafu unawapata wamepost gorofa za Kenya za huko ghetto eti Kenya kuna ujenzi mbovu. Imagine wangekuwaje kama mitaa yao ya watu wa kawaida ingekuwa na gorofa za more than 10 floors kama Kenya. 😂 😂Serialism ya Tanzania imeshindwa kuokoa watu wenye wamefunikwa na gorofa ilianguka Kariakoo, I think Tanzanians are just lazy right from their President down to the unborn baby. Gorofa enyewe ni ya 2 floors, sijui ingekuwa za 9-10 floors kama zile za Nairobi ingekuwa aje?
Very few bongolalas here know their country well btw. And they are the quiet ones. Hawa wa domo domo ni village yao na Tandale ndio wanajua. Hata hiyo Dar hawaijui, uliona mwengine nampostia picha ya Mbezi anashangaa hapa ni wapi?😂😂That leave with a question if the guy really know Tanzania well😂😂
Majuu gani na hata kuunganisha two English words ni mtihani kwake, ama anatumia Kiswahili huko majuu?😂😂😂.Huwa anatupostia hapa picha eti ako majuu. Naona kama anaambianga mtu ampigie picha amtumie. 😂😂😂.
OK kama Highways zinatengeneza 40% ya barabara zetu na hazifiki 5000km hiyo 60% inner roads ni km ngapi na hizo 20000km zinapatikanaje.Punguzeni uongo njia ya mwongo ni fupi!Our inner roads are have long network of paved roads than your country. Highways doesn’t even account for 40% of our roads.
Unaezapata hata hajaikanyaga Dar😂😂😂.Very few bongolalas here know their country well btw. And they are the quiet ones. Hawa wa domo domo ni village yao na Tandale ndio wanajua. Hata hiyo Dar hawaijui, uliona mwengine nampostia picha ya Mbezi anashangaa hapa ni wapi?😂😂
Are you really this stupid? Nani amekuambia our Highways hazifiki 5000KM? Yani huko Tanzania huwa mnakubali tu chochote mnaambiwa kuhusu Kenya?😂😂OK kama Highways zinatengeneza 40% ya barabara zetu na hazifiki 5000km hiyo 60% inner roads ni km ngapi na hizo 20000km zinapatikanaje.Punguzeni uongo njia ya mwongo ni fupi!
Actually there is tarmac up to Nadapal (South Sudan Border) I think Nadapal and Lunga Lunga are the two furthest towns in Kenya (If you consider Nadapal to be a town). Niliona wenzetu wakijichocha humu eti Arusha ina 430km of Tarmac nikacheka maanake Arusha is among the richest regions in Bongolala wakati Turkana, our poorest, easily has that length of tarred road network. 😂 😂Bongolala, Lokitaung has better roads than most parts of Dar is slum View attachment 3155334View attachment 3155335
Unasema ako Songea. 😂😂Unaezapata hata hajaikanyaga Dar😂😂😂.
Anacharge simu kwa Kinyozi alafu ikishajaa moto anakuja kutupigia nayo kelele hapa😂