Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya kuweni serious basi hata kdg acheni u joker, nmeona kuna mkenya anasema turkana inaizidi Arusha kwenye barabara kisa kabarabara kamoja kanakopita hapo turkana, acheni ujinga, turkana ndiyo sehem maskini zaidi East and central Africa, kijiji hakina hata umeme just imagine.
 
Kwani vichororo sio barabara? As long as they are tarmacked we count them as paved roads. In Kenya we don’t leave any stone unturned, are you aware that every road in Kibera slum is tarmacked?

Right now we are tarmacking all roads in Korogocho slum

View attachment 3155689
View attachment 3155690
View attachment 3155691
View attachment 3155692
View attachment 3155693
Wadanganye ambao hawaijui Nairobi.
Hio Nairobi hata km 400 hazifiki.
Nyinyi mnapika data eti 7000km...hiv mnajua Km hata 1000 nyinyi.

Anyway labda mnapika data ili muonekane
 
Wadanganye ambao hawaijui Nairobi.
Hio Nairobi hata km 400 hazifiki.
Nyinyi mnapika data eti 7000km...hiv mnajua Km hata 1000 nyinyi.

Anyway labda mnapika data ili muonekane
Shida yako unadhani mitaa ya Nairobi inakaa hivi.
20221124_135741-jpg.2439637
 
Hebu Tazama hii video mpaka mwisho. Hii ni sehemu tu ya Mbezi beach.
Dar hatupiki data kama nyinyi.

View: https://youtu.be/7ofrTy0FKbs?si=py6nO3_jn1wk3MhD

I saw only one decend road. It's not even that good, no drainage na vumbi nyingi pembeni alafu ukiangalia hiyo barabara kuna barabara za vumbi zimebranch kutoka hapo. Mimi nakuonyesha a whole neighborhood. Hapo Dar mna tabia ya kutengeneza main road pekee alafu barabara za access zinakua vumbi.

About cooking figures, do I need to remind you which country in this region has been red flagged as a hotspot for cooking figures? Stop projecting.
Screenshot 2024-11-19 101724.png
Screenshot 2024-11-19 101911.png
Screenshot 2024-11-19 101958.png


Compare that with a high end neighborhood in Nairobi like Rosslyn utaona hiyo mbezi kama slum, hutaona barabara ya vumbi hata moja. Ni lami ama Cabro hadi kwa gate. Hapo mmezoea lami kwa main road pekee ndio maana mnashangaa vipi sehemu ndogo kama Nairobi ina lami 700km.


View: https://www.youtube.com/watch?v=RPlsDncsn5Q&t=3s
 
I saw only one decend road. It's not even that good, no drainage na vumbi nyingi pembeni alafu ukiangalia hiyo barabara kuna barabara za vumbi zimebranch kutoka hapo. Mimi nakuonyesha a whole neighborhood. Hapo Dar mna tabia ya kutengeneza main road pekee alafu barabara za access zinakua vumbi.

About cooking figures, do I need to remind you which country in this region has been red flagged as a hotspot for cooking figures? Stop projecting.
View attachment 3155884View attachment 3155885View attachment 3155886

Compare that with a high end neighborhood in Nairobi like Rosslyn utaona hiyo mbezi kama slum, hutaona barabara ya vumbi hata moja. Ni lami ama Cabro hadi kwa gate. Hapo mmezoea lami kwa main road pekee ndio maana mnashangaa vipi sehemu ndogo kama Nairobi ina lami 700km.


View: https://www.youtube.com/watch?v=RPlsDncsn5Q&t=3s

Hii estate yako ni ndogo sana kwa Mbezi beach. Mbezi beach is not just a residential area but also a commercial area.

Halafu hiyo estate yako inafanana na vijiji vya Marangu huko Moshi kilimanjaro. Mazingira na kukata maua vinafanana

View: https://youtu.be/ZEAXaICiIn0?si=Xj9Eq9V4-wWBeurA

Dar is almost thrice Nairobi in size. Huwezi niambia Nairobi ina km 7000 nikakubali...nawe utakuwa haureason kukubali kuwa That town with 696sqkm ina lami 7000km.
Na bado kuna maeneo kibao ya Nairobi hayana lami. For instance hii japo hii tv wanareport kikuyu. Ushenzi tu

View: https://youtu.be/Up0N_PHJRfw?si=5AS0TsgcPIvGbPjE
 
Back
Top Bottom