Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siku zote huwa nasema takwimu za caf siziamini, Afcon ya tatu hii Tanzania inafuzu alafu haya masenge hayafuzu wala nn eti bado takwimu uchwara zinawaweka juu yetu, nafikiri now wakenya watakubaliana na mm kwamba tupo juu yao kisoka.
Mkuu kukusanya point kila mchezo unaocheza.
Kenya kuwa juu yetu ni kwasababu ya point alizokusanya nyuma.
Kumbuka sisi tumetoka mbali sana ndio tunapanda,sasa hivi tupo nafasi ya 112 ilhali miaka miwili nyuma tulikua nafasi ya 135.
Tunakuja wacha tukusanye point zaidi.
Kenya wa 106 na hivi hajapita Afcon atarajie kushuka.
 
0 paved Roads? Unaongea kama nani?
Facts are stubborn bro. Unaweza nidanganya hapa ila huwezi danganya satelite ya Mzungu.
Nioneshe kwa hili eneo nililohighlight barabara moja ya lami. Nenda Google maps uzoom. Usione nawaonea.
Screenshot 2024-11-19 185145.png
 
Alafu wangekuwa wameishare humu mara mia. 😂 😂
I think this people are used to muddy and dusty roads, jana nilishara a picture of slum roads being tarmacked, do you know what they said? Ati mbona serikali ya Kenya ijenge barabara ya lami kwenye slums. It’s for them tarmacked roads are only preserved for the super rich people and highways😂😂😂
 
Ajabu sana iliyopita UGANDA hakwenda by Rank yupo juu, Zambia tumepiga by Rank Yuko juu, still eti hatusogei kuna wajinga wanakula bakora daily.

Hapo guinea yupo 78 bado utashangaa eti hatusogei wakati tumekung'uta Zambia Away, Guinea nje ndani na tumefuzu.
Point kaka point,wenzetu walikusanya point nyingi,tunatakiwa tukusanye point zaidi ili kuwafikia.
We unajua point alizokusanya Zambia mkuu!?
Msimu uliopita Afcon wewe si ulibaki nje Zambia akapita kwenda hatua ya robo!?
Unampitaje kwa kumfunga mechi moja!?
 
I think this people are used to muddy and dusty roads, jana nilishara a picture of slum roads being tarmacked, do you know what they said? Ati mbona serikali ya Kenya ijenge barabara ya lami kwenye slums. It’s for them tarmacked roads are only preserved for the super rich people and highways😂😂😂
Wanashangaa kwao mbezi kwa matajiri hakuna lami itakuwaje Korogocho kwa maskini kuwe na lami? 😂😂
 
Ebu rusha ile article ya World Bank na IMF yenye inasema wanapika data. 😂 😂
Wataanza kulia hapa ati World Bank na IMF wanawachukia😂😂😂. Actually that statement usually leaves me laughing hard na kujiuliza, Tanzania iko na nini ndio ichukiwe na World Bank and IMF😂😂
 
Unajua hata kuna mbezi mbili?

Maneno mengi wakati mtu akiingia Nairobi tu ni full uchafu etc

Hebu panda uje ujionee si mna vloggers wenu wanakuja daily?

#AFCON2025MORROCO
Nimekuuliza swali, hapa ni wapi? Wacha kupiga makona.


😂 😂

20221124_135741-jpg.2439637
 
Point kaka point,wenzetu walikusanya point nyingi,tunatakiwa tukusanye point zaidi ili kuwafikia.
We unajua point alizokusanya Zambia mkuu!?
Msimu uliopita Afcon wewe si ulibaki nje Zambia akapita kwenda hatua ya robo!?
Unampitaje kwa kumfunga mechi moja!?
Waambie how football works waelewe. Watchman andhani football ranking ni kama kurusha mwizi na rungu yenye amezoea😂😂
 
Wataanza kulia hapa ati World Bank na IMF wanawachukia😂😂😂. Actually that statement usually leaves me laughing hard na kujiuliza, Tanzania iko na nini ndio ichukiwe na World Bank and IMF😂😂
Yani FIFA inatoa takwimu independently, wanalia eti tumepika data. Hawa majamaa bana. 😂😂
 
Back
Top Bottom