buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
We nawe nini?Yani jamaa anaokota kibarabara kimoja tena huko marikiti kwa mikokoteni kina pothole anafanya inakuwa issue kubwa yet kwao mtaa wa kifahari barabara ni moja. Just imagine Nairobi kama Muthaiga ingekuwa na barabara za vumbi. Imagine ile maandamano inaweza tokea. 😂 😂
Mna barabara gani Ukunyani?
Umekomaa na kapicha hata hujui location.
Kwanza tupishe ukitaka barabara google za MORROCO TUPO HUKO.