Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,604
- 5,737
inauma eeeh ndio ukimombea jirani yako mabaya majibu huwa hiviSo nijifiche because Tanzania imequalify for AFCON they going to end walose games zote? Hata haiezinisumbua akili.
inauma eeeh ndio ukimombea jirani yako mabaya majibu huwa hiviSo nijifiche because Tanzania imequalify for AFCON they going to end walose games zote? Hata haiezinisumbua akili.
Hamna kitu hao, kazi yao kuiombea mabaya Tanzania kule afcon wakati wenzao tunazidi kuizoea michuano mana tunaingia kila siku.Alooo sikujua kumbe hata wasicheze haina maana haaahaa midomo wana mirefu sana hawa
Bro, Tanzania is the only country in AFCON history without a win. So hate mkiqualify Mara elfu bado mtalose tu all matches huko AFCON.inauma eeeh ndio ukimombea jirani yako mabaya majibu huwa hivi
Na wale haters waliosubiria kumzodoa Samia 😂😂😂👇👇Nmekuja kuona wakenya wakisema Afcon si lolote..😂
Mnafuzu lakini hakuna games mnashinda huko, tofauti ya Tanzania na Somalia kwa AFCON ni zero. Siku mtashinda game AFCON mojo tuongee😂😂Siku zote huwa nasema takwimu za caf siziamini, Afcon ya tatu hii Tanzania inafuzu alafu haya masenge hayafuzu wala nn eti bado takwimu uchwara zinawaweka juu yetu, nafikiri now wakenya watakubaliana na mm kwamba tupo juu yao kisoka.
Nchi ikifuzu kwenye mashindano makubwa ya mpira kuna furaha huwa naipata hadi machozi yanadondoka.Msuva asee aendelee kuwa Taifa Stars hata kama hana timu jamaa ana bahati na hiyo timu ukiangalia ni game changer mkubwa.
Ajabu sana iliyopita UGANDA hakwenda by Rank yupo juu, Zambia tumepiga by Rank Yuko juu, still eti hatusogei kuna wajinga wanakula bakora daily.Alafu watakuambia wako sawa na Tanzania kwenye soka kisa vi takwimu uchwara. Ladies and Gentlemen the football nation to Afcon again 🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
After kufuzu mtafanya nini huko? Ama unasahau Tanzania haijaisha Sa any game ya AFCON? Hao wote wenye unataja have won so many games.Ajabu sana iliyopita UGANDA hakwenda by Rank yupo juu, Zambia tumepiga by Rank Yuko juu, still eti hatusogei kuna wajinga wanakula bakora daily.
Hapo guinea yupo 78 bado utashangaa eti hatusogei wakati tumekung'uta Zambia Away, Guinea nje ndani na tumefuzu.
Na wale haters waliosubiria kumzodoa Samia 😂😂😂👇👇
View: https://x.com/420Cousin/status/1858886790767108149?t=EkR_HiPzPDIqog3aR77iBQ&s=19
Acha roho mbaya wewe nyang'au😁So nijifiche because Tanzania imequalify for AFCON which they are going to end up walose games zote? Hata haiezinisumbua akili.
Unateseka ukiwa wapi?Mnafuzu lakini hakuna games mnashinda huko, tofauti ya Tanzania na Somalia kwa AFCON ni zero. Siku mtashinda game AFCON mojo tuongee😂😂