buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,129
- 13,110
Lilipaswa kuwa swali langu kwako. Remember me ndio nimeanza kuuliza?Nimekuuliza swali, hapa ni wapi? Wacha kupiga makona.
😂 😂
![]()
Lilipaswa kuwa swali langu kwako. Remember me ndio nimeanza kuuliza?Nimekuuliza swali, hapa ni wapi? Wacha kupiga makona.
😂 😂
![]()
Alafu tukiwaambia Nairobi has 7,000KM of paved roads wanalia😂😂Wanashangaa kwao mbezi kwa matajiri hakuna lami itakuwaje Korogocho kwa maskini kuwe na lami? 😂😂
Kutoka jana nimekujibu ni Mbezi bado unapinga. Sasa nimekuuliza unieleze ni wapi...............maanake kulingana na wewe hapo sio mbezi. 😂Lilipaswa kuwa swali langu kwako. Remember me ndio nimeanza kuuliza?
Nimeshindwa nini bro? Kuna nini hapo cha kushindwa? Wewe ndio umeshindwa kunionesha barabara ya lami kwa eneo nililo highlight 😂 😂Kawaida mkishidwa maanza matusim
I understand that watchman, he is a primary school dropout 😂😂😂Yani FIFA inatoa takwimu independently, wanalia eti tumepika data. Hawa majamaa bana. 😂😂
Wew jamaa unabishana kwa Google Map.Yani nikitaka kuona barabara nzuri Dar lazima niangalie eneo fulani. This is evidence mji wenu ulio ovyo.
Halafu sio hiyo picha tu, ni vile hiyo ndio picha niliyopata. 50% of Dar ina 0 paved roads. The remaining 50% kuna lami kwa main roads na CBD pekee. Ukitaka lami ya access road lazima uingie kwa gated community amabazo sio nyingi Dar.Kwa mfano, hili eneo la Dar ni 623sq.km (42% of the total area) na hamna barabara ya lami hata moja. a bado mnataka kujilinganisha na Nairobi.
View attachment 3156331
Alafu mbona hujui mji wako? Bado unapinga hapa sii Mbezi? Basi tuelezee hapa ni wapi? 😂 😂
![]()
Yes, win with big margins and less penalties will improve your points.Tanzania inatakiwa izidi kupambana kukusanya point kufika juu.
Kuna Mbezi mbili hapa DAR moja ambao bado inajengekaKutoka jana nimekujibu ni Mbezi bado unapinga. Sasa nimekuuliza unieleze ni wapi...............maanake kulingana na wewe hapo sio mbezi. 😂
Najua mnaona 400km of paved roads ni mingi ndio maana your biggest city only have 391KM of paved roads😂😂Wew jamaa unabishana kwa Google Map.
Mambo mengine ambayo haujui ni bora ukae kimya.
Wew ukiwa YouTube unasema Tanzania imeendelea ukija JamiiForum unasema vinginevyo. Au unatafutaga followers.
Ngoja nikuache labda siku ukifika Dar utabadilisha mawazo yako...mimi nimesubscribe YouTube Channel yako kabisa. Ukikosa sehemu ya kukaa nitakutafutia...tena nitakutafutia mitaa ya ndani huko ili uprove mwenyew kuna lami.
Maana tutabishana mpaka kesho.
Nairobi haina hata km 400 za barabara. Nyinyi mnahesabu 7000km ai! Hata kama ni upikaji huu sio
Sasa unatukana nini?Nimeshindwa nini bro? Kuna nini hapo cha kushindwa? Wewe ndio umeshindwa kunionesha barabara ya lami kwa eneo nililo highlight 😂 😂
Kwa hivo Google map inadanganya? Kwa hivo Google map imechagua Dar pekee ioneshe barabara ya vumbi palip na lami wakati miji mingine yote duniani inaonesha hali halisia? Ama Google map inapika data pia maanake nyie ni mabingwa wa kuaccuse watu kupika data. Punguza hasira kijana.Wew jamaa unabishana kwa Google Map.
Mambo mengine ambayo haujui ni bora ukae kimya.
Wew ukiwa YouTube unasema Tanzania imeendelea ukija JamiiForum unasema vinginevyo. Au unatafutaga followers.
Ngoja nikuache labda siku ukifika Dar utabadilisha mawazo yako...mimi nimesubscribe YouTube Channel yako kabisa. Ukikosa sehemu ya kukaa nitakutafutia...tena nitakutafutia mitaa ya ndani huko ili uprove mwenye kuna lami.
Maana tutabishana mpaka kesho.
Nairobi haina hata km 400 za barabara. Nyinyi mnahesabu 7000km ai! Hata kama ni upikaji huu sio
Sijakutukana, Ni sacarsm maanake unauliza maswali za upuzi badala ya kujibu swali.Sasa unatukana nini?
Sijauliza kuna Mbezi ngapi, nimeuliza hii picha ni ya wapi. Hivi mbona swali rahisi linakusumbua? 😂 😂Kuna Mbezi mbili hapa DAR moja ambao bado inajengeka
Tanzania is the only country in Africa known for cooking figures.Kwa hivo Google map inadanganya? Kwa hivo Google map imechagua Dar pekee ioneshe barabara ya vumbi palip na lami wakati miji mingine yote duniani inaonesha hali halisia? Ama Google map inapika data pia maanake nyie ni mabingwa wa kuaccuse watu kupika data. Punguza hasira kijana.
😂 😂
Maswali ya kipuuzi yapi?Sijakutukana, Ni sacarsm maanake unauliza maswali za upuzi badala ya kujibu swali.
Sasa ukiquote post yangu alafu uandike "Satellite???" unategemea nikujibu vipi? Hilo ni swali la aina gani?Maswali ya kipuuzi yapi?
Satellite data zingekua zinaeleweka google map isingekua inanipa mazingira ya 2013 Nyumbani Nyamongo.
No need TUPO MORROCO 2025 what About youuu?That’s a constant question, nitaacha kukuliza Hilo swali wakati mtashinda hata game moja at AFCON.
Wacha uongo bro, Google maps Satellite view inaupdate every 1 - 3 years. Kwa hivo the oldest satellite image ya Google Maps inaweza kuwa ni 2021.Satellite data zingekua zinaeleweka google map isingekua inanipa mazingira ya 2013 Nyumbani Nyamongo.
Umekosa vyote ukahamia satellite? Ambayo haieleweki? Yenye data sisizokua updated?Sasa ukiquote post yangu alafu uandike "Satellite???" unategemea nikujibu vipi? Hilo ni swali la aina gani?
Kama ni hivyo how the hell hatuioni hata nyumba tuliyojenga?Wacha uongo bro, Google maps Satellite view inaupdate every 1 - 3 years. Kwa hivo the oldest satellite image ya Google Maps inaweza kuwa ni 2021.