Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG-20241119-WA0017.jpg
 
Hii estate yako ni ndogo sana kwa Mbezi beach. Mbezi beach is not just a residential area but also a commercial area.

Halafu hiyo estate yako inafanana na vijiji vya Marangu huko Moshi kilimanjaro. Mazingira na kukata maua vinafanana

View: https://youtu.be/ZEAXaICiIn0?si=Xj9Eq9V4-wWBeurA

Dar is almost thrice Nairobi in size. Huwezi niambia Nairobi ina km 7000 nikakubali...nawe utakuwa haureason kukubali kuwa That town with 696sqkm ina lami 7000km.
Na bado kuna maeneo kibao ya Nairobi hayana lami. For instance hii japo hii tv wanareport kikuyu. Ushenzi tu

View: https://youtu.be/Up0N_PHJRfw?si=5AS0TsgcPIvGbPjE

Unaonyeshwa kwamba Nairobi lami iko kila Corner and NairobiWalker has used Rosslyne kama example kukuonyesha paved roads kila mahali lakini wewe na ujinga wako unahamia ukubwa. Ukubwa wa Dar ni mashamba ya mihogo na huko huwa hakuna barabara hata ya vumbi. Mtanzania kuona lami lazima aende main road😂😂
 
Unaonyeshwa kwamba Nairobi lami iko kila Corner and NairobiWalker has used Rosslyne kama example kukuonyesha paved roads kila mahali lakini wewe na ujinga wako unahamia ukubwa. Ukubwa wa Dar ni mashamba ya mihogo na huko huwa hakuna barabara hata ya vumbi. Mtanzania kuona lami lazima aende main road😂😂
Aise nimeziangalia hizo barabara za hako ka estate/ mtaa ambao ni extension ya Runda by the way...kwanza ni low quality na hazina pedestrian walkways wakati ni residential area. Halafu mnaita poshy and rich.
Hebu twende kwa richest in Dar mbweni. Utazame barabara zilivyo na sidewalks, wide, clean etc....
NB. Mbweni=Runda, kitsuru,Giligil,karen, Rosslyne, Ridgeway, windsor and Muthaiga. Huku kwetu tunaita mitaa hiyo ndani ya kata/ward mfano Mbweni

I lived In Nairobi and I know what am writting
 
Aise nimeziangalia hizo barabara za hako ka estate/ mtaa ambao ni extension ya Runda by the way...kwanza ni low quality na hazina pedestrian walkways wakati ni residential area. Halafu mnaita poshy and rich.
Hebu twende kwa richest in Dar mbweni. Utazame barabara zilivyo na sidewalks, wide, clean etc....
NB. Mbweni=Runda, kitsuru,Giligil,karen, Rosslyne, Ridgeway, windsor and Muthaiga. Huku kwetu tunaita mitaa hiyo ndani ya kata/ward mfano Mbweni

I lived In Nairobi and I know what am writting
Aise nimeziangalia hizo barabara za hako ka estate/ mtaa ambao ni extension ya Runda by the way...kwanza ni low quality na hazina pedestrian walkways wakati ni residential area. Halafu mnaita poshy and rich.
Hebu twende kwa richest in Dar mbweni. Utazame barabara zilivyo na sidewalks, wide, clean etc....
NB. Mbweni=Runda, kitsuru,Giligil,karen, Rosslyne, Ridgeway, windsor and Muthaiga. Huku kwetu tunaita mitaa hiyo ndani ya kata/ward mfano Mbweni

I lived In Nairobi and I know what am writting
Bro, the issue here was to show you that Nairobi estates has roads almost everywhere. In Tanzania only Mbweni estate ndio iko na barabara. Kwanza hiyo mbweni ni ya matajiri na sio fukara wengine kama nyinyi wa hapa JF. In Kenya hadi slum dwellers wako na barabara za lami in their neighborhood.
 
Back
Top Bottom