Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

shule za umma sasa inauzwa 😂😂😂😂
kuna shule moja iko pale kurasini naskia na yenyewe iko mbioni kuuzwa

kweli over 20b usd in 3 yrs inafanya kazi
Hata ile shule ya msingi Bunge ingeuzwa tu, maana ipo centre kabisa, na kitu kingine more economical kingefanyika, watoto wanatoka mbali kwenda kusoma pale, sasa shule zipo za kutosha, watoto wasome walking distance Tu kutoka majumbani kwao.
 
hebu tutajie hvo viwanda vya kuonganisha trailer na miaka yake ya kuanzishwa 😂😂😂😂😂😂

nitajie hvo viwanda viwili vya kuunganisha magari na miaka yake yakuanzishwa ili tuwe na ushahidi 😂😂😂😂😂
1. Superdoll since 80s
2. AM trailers
3. CSSL moshi
 
A giant white elephant project. Revenues for both pasengers and cargo for a period of 5 years is KSh 74bn. This amount can easily be surpassed by Tanzania pasengers services between Dar and Dodoma only let alone Mwanza and Kigoma.🤣🤣🤣
 
Hata ile shule ya msingi Bunge ingeuzwa tu, maana ipo centre kabisa, na kitu kingine more economical kingefanyika, watoto wanatoka mbali kwenda kusoma pale, sasa shule zipo za kutosha, watoto wasome walking distance Tu kutoka majumbani kwao.
Unafahamu kuna watoto wengi maeneo ya Upanga west wanaohitaji shule ya karibu kusoma? Forodhani iliyochukua baadhi ya watoto wa maeneo hayo ilirudishwa kanisani, sasa Bunge ikiuzwa watakwenda wapi?
 
Sisi hatujengi miundombinu kama miradi ya wanasiasa kupiga hela tunajenga panapo uhitaji.
Tulishawapiga kwenye shule za serikali sema ujeuri wao tu, waambie waanzishe hiyo battle kama watakubali uone. Kenya hawaiwezi Tanzania kwenye shule hata kwa chembe, na sio Kenya tu bali nchi nyingi Africa hawatuwezi hata kwa mbali, ni vile tu watanzania sio watu wa ku brag, ndiyo maana unaona tunapendwa sn. Kwa mfano angalia sgr inavyong'aa lkn tumekaa kmy, ni kwasababu sisi sio washamba.
 
Nyie wakenya a.k.a mik.und.u kunuka mna uwanja kama huu? And mind you this is not even the best airport in Tanzania.
IMG-20241112-WA0030.jpg
 
Back
Top Bottom