Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Construction boom of over 30 floors buildings in Upperhill.

IMG_0750.jpeg
 
Niliskia hakuna project inaendelea Kenya. Are you also aware that entire Tanzania only have 3 interchanges?
Hatusumbuki na vimradi vidogo vodogo mkuu, we are busy linking our regions na project kubwa , utaishia kuziona tu kwa picha 👇🏾 tunatoka kutumia hizi ferries
IMG_2600.jpeg
IMG_2466.jpeg
tunakuja huku 👇🏾
IMG_2401.jpeg
IMG_2395.jpeg
Uko busy kutaja taja interchange. 😂😂😂 Dar iko na interchange almost 10 hivi. we umeng’ang’ana tatu
 
Hii thread ingekuwa imekufa kitambo bila wakenya wenyewe, maana kwa kiasi kikubwa wao ndio wanaibeba. Ni battle kati ya Dar es Salaam na Nairobi, lakini usishangae kuikuta Katavi humu ndani sio kwamba kipindi cha nyuma sehemu nyingine za tanzania nje na Dar es saalam zilikuwa haziwekwi humu ila kwa sasa ni too much Guys we gone deep, battle hii imeingiliwa na machawa na watu wenye umuhimu kama RRONDO Kapepo Chamoto Lwiva LURIGA TEMLO DA VINCA Naton Jr Simon tuusan MOTOCHINI Walker255 dickchiller babayao255 Ngokongosha
naona wameisha anza kuipuuza nawengine wamehepa kabisa kama MK254 na wengine wengi kutoka kenya na kwasasa uhai wa thread umebakia kwa ichoboy01 chongchung The best 007 Mgagaa na Upwa game over muhogo_kiks Sama boy 255
 
Kwasasa Dar imeshapata tena construction boom mzee. 80 high rise buildings in Kariakoo alone. 👇🏾 16 buildings under construction already. 80 projects submitted for joint ventures with NHC. Hii ni kwaajili ya kuibadilisha kabisa skyline ya Kariakoo. 😂😂 sasa sijui utatuambia nini.
Sasa buildings za 5 floors ndio unapigia kelele hapa? Do you have a 20 floor building coming up anywhere in Tanzania? What about 25 floors? What about 30 floors? Do you have a 35 floor coming up in Tanzania? What about 40 floors?
 
Sasa buildings za 5 floors ndio unapigia kelele hapa? Do you have a 20 floor building coming up anywhere in Tanzania? What about 25 floors? What about 30 floors? Do you have a 35 floor coming up in Tanzania? What about 40 floors?
Umeona wapi hizo buildings za 5 floors.? 😂😂😂 au kama kawaida yako kujitia ukichaa.?
 
Hii thread ingekuwa imekufa kitambo bila wakenya wenyewe, maana kwa kiasi kikubwa wao ndio wanaibeba. Ni battle kati ya Dar es Salaam na Nairobi, lakini usishangae kuikuta Katavi humu ndani sio kwamba kipindi cha nyuma sehemu nyingine za tanzania nje na Dar es saalam zilikuwa haziwekwi humu ila kwa sasa ni too much Guys we gone deep, battle hii imeingiliwa na machawa na watu wenye umuhimu kama RRONDO Kapepo Chamoto Lwiva LURIGA TEMLO DA VINCA Naton Jr Simon tuusan MOTOCHINI Walker255 dickchiller babayao255 Ngokongosha
naona wameisha anza kuipuuza nawengine wamehepa kabisa kama MK254 na wengine wengi kutoka kenya na kwasasa uhai wa thread umebakia kwa ichoboy01 The best 007 Mgagaa na Upwa game over Sama boy 255
Mkuu kuna watu wanaharibu sn hii thread, kutwa kucha wanapiga kampeni humu wakati thread za kampeni zipo, cjajua ni kwnn hawapigwi ban. Wanatuharibua hii thread na kuna wadau washaingia mkenge, mm cku hizi hata kuingia jf naona uvivu mana unakuta mtu anaweka miradi isiyohusika kabisa na thread, ni sawa kuweka mara moja moja lkn kwa sasa imekuwa too much, inakera sn, hata cc tutatoka humu tuwaachie wao jf mana mm jf thread yangu ni hii hii, sasa wakiiharibu kama hivi nakuwa sina jinsi ya kubaki humu.
 
Sasa buildings za 5 floors ndio unapigia kelele hapa? Do you have a 20 floor building coming up anywhere in Tanzania? What about 25 floors? What about 30 floors? Do you have a 35 floor coming up in Tanzania? What about 40 floors?
Kariakoo is full of high rise buildings kinachofanyoka now ni kuvunja zile fupi hizo za 5 floor to replace them with 20+ floors buildings. We kaa hapo upate maumivu.. and remember it’s 80 structures that are coming up. 😂😂😂
 
Umeona wapi hizo buildings za 5 floors.? 😂😂😂 au kama kawaida yako kujitia ukichaa.?
80 buildings with a value of Ksh 1B or $10M ni nini kama sio buildings za 5 floors and below? Meaning each building is approximately Ksh 25M or $250,000. The value of approved buildings in Nairobi in six months alone is almost $1B.

1731435952325.jpeg
 
Kariakoo is full of high rise buildings kinachofanyoka now ni kuvunja zile fupi hizo za 5 floor to replace them with 20+ floors buildings. We kaa hapo upate maumivu.. and remember it’s 80 structures that are coming up. 😂😂😂
There is no building of 20 floors and above coming up in Tanzania, kama iko I dare you to post a picture.
 
80 buildings with a value of Ksh 1B or $10M ni nini kama sio buildings za 5 floors and below? Meaning each building is approximately Ksh 25M or $250,000 The value of approved buildings in Nairobi in six months alone is almost $1B.

View attachment 3150676
Hiyo article nilipost umesoma.? 😂😂😂 again kumbe Tz sh 227 billion = to $10 million.?
 
Wakati baboon anashangilia Dar kuwa na 80 buildings approval worth $10M, Nairobi is doing $2B.

2023
1731436634277.png
 
Back
Top Bottom