Toka muanze kujadiliana mie nilishaona hakuna mwenye hoja kwa hao wanaomponda Magufuli.Kwa kweli sipendi sana mijadala hii ya kurumbana wenyewe kwa wenyewe kwasababu inawapa wakenya muda wa kupumua. Nitasema tuu, wanaposema 'cash' haina maana wanaenda na maburungutu ya dola bali pesa inatumwa electronically ambayo siyo mkopo wenye riba. Hivyo bado wanaweza ku ifuatilia ilivyokwenda na hiyo hoja yako ya wizi kwasababu ya cash ni mfu.
Naomba niishie hapa kama kuna hoja kama hii kwenye majukwaa mengine ni tag nitakuja tujadiliane.
Hoja zao za kitoto sana,moja wapo hii uliyomkosoa sasa hivi.
Mkuu achaneni nao,ila hakuna asiyefahamu Msukuma ni Legend uje umfananishe na mama wa kizanzibari utakua unaugua ukichaa uliokomaa.