Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Progress of Hoima Stadium in Uganda.

1731059274120.jpeg
 
Sasa hii ndio Stadium watanzania wanafaa kulinganisha na their Arusha Stadium, sio Talanta. Talanta has no competitor in the region.

1731059490703.jpeg
 
Linganisha barabara ya ikwiriri - dar uje ulinganishe ya ikwiriri somanga, somanga - nangurukuru
Masasi - nakapanya hizi mahandaki kama yote chini ya magu

Iyovi- makambako hizi sio magu linganisha na moro - Dom hata kuangalia upana na gharama
Hizo kwa uchache hapa hatujataja zile barabara za tarura ambazo watu walikuwa wanaingiziwa Hela ila ujenzi hewa
Hii Barabara ilipanuliwa na kujengwa kipindi cha mkapa pamoja na daraja la mkapa. Nani alikuwa waziri?
 
Hakuna anayempa umalaika JPM. Sisi tunamtetea dhidi ya chuki na kashfa Zenu humu. Kwani hamuwezi kutoa hoja kuwa Samia ni kiongozi mzuri bila kumponda JPM? Shida yetu sisi tunamtetea JPM ni kupingwa kupondwa kwake na kupakwa matope tena Kuna vichaa hadi
Mkuuu unavyoona kwako magufuli alikuwa sawa basi jua kwangu Mimi ninayaona madhaifu na wizi mkubwa . Kwahiyo hata awe wapi kwa sababu ninauona wizi wake ntaendelea kuusema mpaka naingia kaburini.
wanajifanya hakufanya chochote ilhali ukweli mnaujua na sote tunaujua. Unajua kwanini JPM anatumika kama measure? Tena kwanini huwezi waambia kitu Watanzania tuliowengi kuhusu yeye?
Tuliyasema hata kabla ya yeye kufa tukatumiwa watu wakatutesa , Kuna baadhi yetu wakazikwa na viroba wengine akaunti zao akazifreeze tukalazimishwa kununua uhuru nje ya mahakama, kama alikuwa mwema alikuwa kwako sio kwa wote.
Hivi zile Hela walizopita wanakusanya kwenye bureau de change zikienda wapi kama sio kugawana?
JPM aliplay part yake vzr na sote tuliona iwaje baada ya kufa Leo mbaya tena hata aliyoyafnya mnaona si kitu? Hapana! Huu Unapoteza direction kutokana na hao wanaoleta upuuzi humu. Wakenya tuu wanaujua ukweli and this is true for the rest of Africans. TUTAPAMBANA
Magu hajaplay part yoyote kwenye maendeleo ya nchii, miradi mingi tunayoisifia alikuwa ananufaika Moja kwa Moja.( Hivi ikawaje abadilishe mchoro wa ubungo flyover akatuwekea madaraja kwa gharama Ile Ile
 
Hii Barabara ilipanuliwa na kujengwa kipindi cha mkapa pamoja na daraja la mkapa. Nani alikuwa waziri?
Barabara gani hiyo? Mimi nimekuletea orodha ya miaka ya kuingia mikataba . Magu alikuwa waziri waujenzi mwaka 2000- 2005 na ndo hoja yangu ilipo angalia barabara zilizojengwa kuanzia 2006 mpaka 2010 kwa kulinganisha quality na hizo alizojenga magu
Na kuanzia 2011-2015
 
Tena aliingia mkataba 2017 na kuamua kubadilisha mchoro wa awali akijua kikwete hawez mfanya chochote , Sasa Hawa ndugu zetu tukiwaambia wanamuona malaika
Uwa nasikiaga hasira kupinga vitu vinavyojionesha, mmekuwa na lirais limekaa madarakani miaka kumi likienda ulaya kunywa whisky na kurudi, watu hospitalini wanalala chini, Hamna madawa, umeme ukikatika Kila dakika, jamaa kayabadirisha ndani ya miaka mnne. Arafu limtu linasifu ujinga.
 
Barabara gani hiyo? Mimi nimekuletea orodha ya miaka ya kuingia mikataba . Magu alikuwa waziri waujenzi mwaka 2000- 2005 na ndo hoja yangu ilipo angalia barabara zilizojengwa kuanzia 2006 mpaka 2010 kwa kulinganisha quality na hizo alizojenga magu
Na kuanzia 2011-2015
SASA issue ya Barabara, ni standards zinazopitishwa kwenye Sheria za tarnroad zinazopitishwa na bunge, standard tulizonazo mpaka SASA ni lami ya kubeba tani 30 , lakini magari ya SASA yanabeba Hadi tani 40, Mizigo mingi inapita barabarani kuliko reli.
 
Mijitu ya huko ni mijinga sana! Halafu iko entitled kinoma!
Unaikumbuka hii
Mwaka 2013 Wizara ya Ujenzi ilingia No. AE/006/2012-13/HQ/G/CN-39 tarehe 25th April, 2013 na M/s Johs.Gram-Hanssen Bergensgade 10, DK 2100 Copenhagen Oe Denmark kutengeneza ferry ya abiria ya Bagamoyo-Dar jumla ya USD 4,980,000. Mkataba huu ulitakiwa kuanza 25th April, 2013, na uliongenzwa mda wa kuisha31st October, 2014(Rejea barua No.TMS/F/86/A/22).

Katika ukaguzi tumegundua mambo ya kusikitisha

Spidi ya ferry haiendani na ushauri na mahitaji ya wataalam. Wakati wa majaribio spidi ya Ferry ilikuwa mbaya sana, kati ya 19.45knots mpaka 17.25 knots kinyume na spiki iliyokubaliwa kwenye mkataba yaani 20 knots. Pungufu hili kubwa limesababisha ferry ishindwe kufanya kazi na hivyo kukosa thamani ya fedha. Huu ni ufisadi
Mkandarasi kushindwa kukabidhi hati Pamoja na kuwa ferry ilikabidhiwa kwa kuchelewa(ilikabidhiwa tarehe 17th November, 2014), ilikabidhiwa bila hati “goods certificate of acceptance’’ kinyume na taratibu za manunuzi, Reg.247 of PPR, 2013. Hata hivyo mpaka ukaguzi unamalizika hati haikuwahi kukabidhiwa na hakuna hatua zozote zilizowahi kuchukuliwa kwa wahusika. Hii imesababisha technical issues kutokurekebishwa kiwango cha kufanya kazi.
 
Uwa nasikiaga hasira kupinga vitu vinavyojionesha, mmekuwa na lirais limekaa madarakani miaka kumi likienda ulaya kunywa whisky na kurudi, watu hospitalini wanalala chini, Hamna madawa, umeme ukikatika Kila dakika, jamaa kayabadirisha ndani ya miaka mnne. Arafu limtu linasifu ujinga.
Kipindi Cha magu kulikuwa na dawa ? Vipi kipindi Cha aliwajali watumishi au aliwahi ajiri maana maendeleo ni pamoja human development .
Mkuuu magu alikuwa jambazi na ufisadi wake upo Kila Kona
Mwaka 2013 Wizara ya Ujenzi ilingia No. AE/006/2012-13/HQ/G/CN-39 tarehe 25th April, 2013 na M/s Johs.Gram-Hanssen Bergensgade 10, DK 2100 Copenhagen Oe Denmark kutengeneza ferry ya abiria ya Bagamoyo-Dar jumla ya USD 4,980,000. Mkataba huu ulitakiwa kuanza 25th April, 2013, na uliongenzwa mda wa kuisha31st October, 2014(Rejea barua No.TMS/F/86/A/22).

Katika ukaguzi tumegundua mambo ya kusikitisha

  • Spidi ya ferry haiendani na ushauri na mahitaji ya wataalam. Wakati wa majaribio spidi ya Ferry ilikuwa mbaya sana, kati ya 19.45knots mpaka 17.25 knots kinyume na spiki iliyokubaliwa kwenye mkataba yaani 20 knots. Pungufu hili kubwa limesababisha ferry ishindwe kufanya kazi na hivyo kukosa thamani ya fedha. Huu ni ufisadi
  • Mkandarasi kushindwa kukabidhi hati Pamoja na kuwa ferry ilikabidhiwa kwa kuchelewa(ilikabidhiwa tarehe 17th November, 2014), ilikabidhiwa bila hati “goods certificate of acceptance’’ kinyume na taratibu za manunuzi, Reg.247 of PPR, 2013. Hata hivyo mpaka ukaguzi unamalizika hati haikuwahi kukabidhiwa na hakuna hatua zozote zilizowahi kuchukuliwa kwa wahusika. Hii imesababisha technical issues kutokurekebishwa kiwango cha kufanya kazi.
 
SASA issue ya Barabara, ni standards zinazopitishwa kwenye Sheria za tarnroad zinazopitishwa na bunge, standard tulizonazo mpaka SASA ni lami ya kubeba tani 30 , lakini magari ya SASA yanabeba Hadi tani 40, Mizigo mingi inapita barabarani kuliko reli.
Ukitaka kujua Hilo, standards za Barabara kilometers 1 ni billion 2.
 
SASA issue ya Barabara, ni standards zinazopitishwa kwenye Sheria za tarnroad zinazopitishwa na bunge, standard tulizonazo mpaka SASA ni lami ya kubeba tani 30 , lakini magari ya SASA yanabeba Hadi tani 40, Mizigo mingi inapita barabarani kuliko reli.
Sawa mkuu nakubaliana nawewe ila inakuwaje barabara kama ya iyovi- mafinga ambayo ndo barabara inayobeba mzigo kuliko barabara zote nchi hii isiwe na viraka miaka na miaka ila barabara ya songea -masasi isiyo na idadi kubwa ya magari iwahi kuchakaa na kuwa na mahandaki wakati ukiangalia gharama ya ujenzi kwa km karibia zote ziko sawa?
Vipi upana wa barabara ya iyovi- na Ile ya hizo nyingine kama songea - masas unaendana? Iweje zote zijengee kwa gharama zinazokaribiana ila kuwepo na utofauti wa upana?
Mkuu unajua ukipunguza hata nusu MITA kwa km 100 ni mamilion hayo
 
Back
Top Bottom