Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Talanta Stadium

Where opening and Finals of AFCON will be played.
1731051361435.jpeg

1731051377328.jpeg

1731051392266.jpeg

1731051565435.png
 
Kwanza ana tubuma za rushwa TBA na Wizara ya Ujenzi lukuki
Hivi kwanini barabara zote Bora nchini mkandarasi alipatikana magu akiwa sio waziri mfano ukifuatilia zile tender zilizoingiwa kuanzia 2006-2009 na ukienda deep zaid kwa kuangalia status ya zile barabara na ukafuatilia zile za kipindi Cha 2000- 2005 na 2010- 2015 kwa kuangalia mahandaki tu ya kwa barabara utajua nani alikuwa Bora
 
Hivi kwanini barabara zote Bora nchini mkandarasi alipatikana magu akiwa sio waziri mfano ukifuatilia zile tender zilizoingiwa kuanzia 2006-2009 na ukienda deep zaid kwa kuangalia status ya zile barabara na ukafuatilia zile za kipindi Cha 2000- 2005 na 2010- 2015 kwa kuangalia mahandaki tu ya kwa barabara utajua nani alikuwa Bora
Unadhani alikuwa na mahaba na TanRoads na maasifisa wake Hadi kuwapa vyeo Kwa bahati mbaya?

Hapa kazi tuu 😁😁😁👇👇
Screenshot_20240409-032754.jpg
 
Hivi kwanini barabara zote Bora nchini mkandarasi alipatikana magu akiwa sio waziri mfano ukifuatilia zile tender zilizoingiwa kuanzia 2006-2009 na ukienda deep zaid kwa kuangalia status ya zile barabara na ukafuatilia zile za kipindi Cha 2000- 2005 na 2010- 2015 kwa kuangalia mahandaki tu ya kwa barabara utajua nani alikuwa Bora
Mfano Barabara ipi?
 
Mfano Barabara ipi?
Linganisha barabara ya ikwiriri - dar uje ulinganishe ya ikwiriri somanga, somanga - nangurukuru
Masasi - nakapanya hizi mahandaki kama yote chini ya magu

Iyovi- makambako hizi sio magu linganisha na moro - Dom hata kuangalia upana na gharama
Hizo kwa uchache hapa hatujataja zile barabara za tarura ambazo watu walikuwa wanaingiziwa Hela ila ujenzi hewa
 
Ila ukiongea humu utasikia tunaharibu thread inatakiwa tumsifie tu magu .
Yaan nikikumbuka kile kivuko Cha kigamboni kilivyokuwa kinatupeleka visowani mara kwa mara Sina hamu
Mijitu ya huko ni mijinga sana! Halafu iko entitled kinoma!
 
HAkuna anayeharibu wanaoharibu ni nyinyi ambao mnataka kumponda utendaji wa viongozi na kumpa umalaika mtu mmoja tusifie miradi kwa kutoangalia awamu Kila Kuna madhaifu na uzuri katika Kila awamu
Hakuna anayempa umalaika JPM. Sisi tunamtetea dhidi ya chuki na kashfa Zenu humu. Kwani hamuwezi kutoa hoja kuwa Samia ni kiongozi mzuri bila kumponda JPM? Shida yetu sisi tunamtetea JPM ni kupingwa kupondwa kwake na kupakwa matope tena Kuna vichaa hadi wanajifanya hakufanya chochote ilhali ukweli mnaujua na sote tunaujua. Unajua kwanini JPM anatumika kama measure? Tena kwanini huwezi waambia kitu Watanzania tuliowengi kuhusu yeye? JPM aliplay part yake vzr na sote tuliona iwaje baada ya kufa Leo mbaya tena hata aliyoyafnya mnaona si kitu? Hapana! Huu Unapoteza direction kutokana na hao wanaoleta upuuzi humu. Wakenya tuu wanaujua ukweli and this is true for the rest of Africans. TUTAPAMBANA
 
Back
Top Bottom