Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmeshindwa na battle mkaanza kupigana wenyewe kwa wenyewe, sisi wakenya hatunanga tabia za kuingilia vita vya watu wengine. Nyinyi mpiganeni mkimaliza njooni tuwacharaze makofi na mangumi.
Kundustan hamtuoneshi Changamoto. Mnaleta picha zile zile from January to December. Hakuna new things kutoka kwenu mdogo wangu.

Je, upo na project yoyote yenye mashiko?
 
Mkuuu nashukuru umekuja hapa, je ungeyajuaje kama sio ukaguzi , mambo mengi yaliibuliwa na ofisi ya Cag na yakafika bungeni wabunge wakajadili kwa uhuru.
Sasa nambie kipindi Cha magu ilikuwaje ? Magu alikubali mijadala kuwa wazi kama enzi za kikwete? Na kama kweli alikuwa anataka kudhibiti basi angeachia hiyo miradi ijengwe kwenye taasisi husika ila angebana na kuwachukulia hatu wakosefu

Mkuu raisi hawez kuwa sehem zote na ndo maana kukawa na taasisi kama usalama wataifa, pccp, Cag na kwa wakaguzi wandani wapo karibia Kila taasisi na ripoti zao hutoka Kila mwaka.
Nambie ni ripoti gani ya Cag iliyoibuliwa kipindi Cha magu akaifanyia kazi walau hata kuwaweka lockup wahusika.


Wananchi wanampenda sababu alizuia watu wasijue uchafu kwa hiyo ikaonekana yeye ndo Bora kwa sababu hawakuwa na taarifa
Wew jamaa na huyo ChoiceVariable mmeuharibu uzi huu kwa kuleta Siasa zenu.
Sisi wengine sio watu wa Siasa.

Please achaneni na hiyo mijadala hapa
 
Kundustan hamtuoneshi Changamoto. Mnaleta picha zile zile from January to December. Hakuna new things kutoka kwenu mdogo wangu.

Je, upo na project yoyote yenye mashiko?
Nyinyi mnatuonyesha nini mpya tofauti na BRT na SGR pictures za kila siku?
 
HAkuna anayeharibu wanaoharibu ni nyinyi ambao mnataka kumponda utendaji wa viongozi na kumpa umalaika mtu mmoja tusifie miradi kwa kutoangalia awamu Kila Kuna madhaifu na uzuri katika Kila awamu
Wew jamaa na huyo ChoiceVariable mmeuharibu uzi huu kwa kuleta Siasa zenu.
Sisi wengine sio watu wa Siasa.

Please achaneni na hiyo mijadala hapa
 
HAkuna anayeharibu wanaoharibu ni nyinyi ambao mnataka kumponda utendaji wa viongozi na kumpa umalaika mtu mmoja tusifie miradi kwa kutoangalia awamu Kila Kuna madhaifu na uzuri katika Kila awamu
Typical of Wasukuma kabila linalodharau wanawake ndo maana vikongwe wanauwawa huko kwao na usisahau albinos! Wapuuzi sana hawa jamaa!
 
Boss , hakuna awamu ambayo haijengi madarasa, tangu nchi ipate uhuru , tunaongeza watoto milioni mbili kila mwaka , that’s should be included in every budget . Usiwe kama wajinga wengine humu. Ujenzi wa ma darasa huwezi ongea na watu wazima kuwa mmefanya maendeleo.
Hizi n récurent expenditure.
Halafu kuna watu humu mnatia shaka the way you argue.
Mkuu kila awamu inajenga ila kwa kiwango gani? Hakuna awamu iliyowahi kujenga madarasa kwa kiwango Cha 12,000 kwa mwaka mmoja na hakuna awamu iliyowahi Jenga shule mpya za sekondari za dizaini ya kibaha sec na minaki jumla ya shule 20+ kwa mwaka mmoja wa fedha. Na ukisema kwako madarasa sio maendeleo Bali ni maendeleo ni kama flyover basi unatakiwa kusema hata hospitali na vituo vya afya havina umuhimu maana mtu akiugua tutamtibu kwa muarobaini
 
Back
Top Bottom