Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Duuh hapa kinachopingwa ni kuwa magu kafanya mengi kuliko Marais wote, watu wanashindwa tofautisha vipato vya nchi kipindi kwa vipindi vyote vya urais na kwamba kipindi Cha magu hakukuwa na wizi.
Unaweza kueleza ilikuwaje kipindi cha Magu hakukuwa na wizi?
Kwamba kikwete alitakiwa akakope 10bil USD ili ajenge reli wakati alipokea nchi ikiwa kwenye GDP ya 18 bil na akaondoka na 49bil USD.
Wengi hatutaki angalia uhalisia hata ukiingia TANROADS Official Website :: Projects
Kikwete awamu ya 1 alikuwa na miradi mingi sana tena ya kufungua nchi kuliko hata huyu magu , ukija barabara tu jk awamu ya kwanza anazaid ya km 3000 huku jpm akiwa Hana hata 2000km mpaka anaingia kaburini.
Kuhusu hii ya kikwete kwenye ujenzi wa barabara, iko technical kidogo. Kumbuka waziri aliyesimamia hizo barabara alikuwa huyo huyo Magu. Kwa haki ya marais wote wawili tungelinganisha miradi mingine ya kikwete ambayo haikuwa chini ya wizara ya ujenzi ili tuwe fair kwa wote.
Kila rais ana jambo lake alilolifanya hata Samia Kuna mengi anayafanya ila kwa sababu watanzania Huwa tunapenda kuwa na yule kiongozi anayeropoka ndo maana tunaona magu alifanya mengi sana
Kaka, hatukatai anayoyafanya mama Samia, kuendeleza miradi ya awamu ya tano, ambaye yeye mwenyewe alihusika. Tofauti ya Magu na wengine ni kuwa miradi yake ilikuwa ni a game changer, yaani alifanya a paradigm shift kwa watanzania na Afrika kwa ujumla, alionesha tunaweza. Yale mawazo ya kuwa Afrika haki yetu ni treni za gari moshi aliondoa, wakubwa walitaka tuifufue MGR tuu. Eti, tukitaka kupanda mchongoko twende kwao, Kha!

Ndiyo maana hadi watu wa mataifa wakaja na slogan za "magufuli effect" na "what would Magufuli do". Nitajie kiongozi mwingine wa Africa aliyepewa hash tags kama hizo?
 
Unaweza kueleza ilikuwaje kipindi cha Magu hakukuwa na wizi?

Kuhusu hii ya kikwete kwenye barabara, iko technical kidogo. Kumbuka waziri aliyesimamia hizo barabara alikuwa huyo huyo Magu. Kwa haki ya marais wote wawili tungelinganisha miradi mingine ya kikwete ambayo haikuwa chini ya wizara ya ujenzi.

Kaka, hatukatai anayoyafanya mama Samia, kuendeleza ya miradi ya awamu ya tano, ambaye yeye mwenyewe alihusika. Tofauti ya Magu na wengine ni kuwa miradi yake ilikuwa ni a game changer, yaani alifanya paradigm shift kwa watanzania na Afrika kwa ujumla, kuwa tunaweza. Yale mambo ya kuwa Afrika mashariki haki yetu ni treni za garimoshi alituopa kule.

Ndiyo maana hadi watu wa mataifa wakaja na slogan za "magufulieffect" na "what would magufuli do". Nitajie kiongozi mwingine wa Africa aliyepewa hash tags kama hizo?
Wizi ulikuwepo ukiongozwa na mpwae jambazi Doto James!
 
Screenshot_20241107-085907.jpg
 
Kama kwa miaka mitano, ulikuwa kutwa nzima unasifia miradi ya mtu ambaye mpwa wake ni mwizi basi you are the biggest idiot, a flip flopper, a man with no integrity.
Alisikika mpumbavu mmoja hata baada ya kuambiwa madudu ya Magufuli bado aliendelea kumsujudia!
 
Hivi umesahau jinsi Magu alivyomtuma Mfugale kwenda Japan kutafuta pesa za ujenzi na kumwambia asirudi mpaka awe na mkataba? Unafikiri ni kwa nini inaitwa Mfugale flyover?
Nimekutumia link serikali ikisaini mkataba wa ujenzi na Sumitomo construction hela imetoka serikali ya Japan through JICA kabla Magu hajawa raisi sasa mfugale alienda kutafuta pesa zipi? Weka hapa evidence maneno matupu ya kanga kama ya Teargas hatutaki anakuambia treni ya kenya inakimbia kuliko ya Tz ukimwambia alete ushahidi hana na wewe ndivyo unataka kutuaminisha hivyo kwenye hili jambo bila concrete evidence.
 
nop nop tusiwatupie lawama wakenya tujiulize swali mm na ww ni kiongozi gani mkali anaeweza kusimamia miradi mikubwa kama hio jibu ni hakuna simple and clear tusitafute wachawi nje ya mipaka wakat miradi sasa hvi inajiendea ovyo ovyo hakuna mfatiliaji
Usimamizi mbovu,hata brt binafsi nashangaa walioufelisha ule mradi bado wapo mtaani,mimi nishawahi kumiliki hiace ambayo ilikua inapiga kazi nje ya mji,foleni,makosa ya barabarani na bado pesa nilikua naiona,how come brt ishindwe kuleta faida ikiwa kwanza kuna abiria wa kutosha hadi wengine wanakaa saa nzima bila kupata gari,brt aiandikiwi faini za barabarani,aikai foleni na bado imefeli,pesa yote imeenda kwa watu na hao watu wapo uraiani halafu jela wamejaa wezi wa kuku!
 
Hivi umesahau jinsi Magu alivyomtuma Mfugale kwenda Japan kutafuta pesa za ujenzi na kumwambia asirudi mpaka awe na mkataba? Unafikiri ni kwa nini inaitwa Mfugale flyover?
Soma hii article Magufuli anaitwa works minister sio Rais. 👇
 
Wakuu huu ubishani wa kumshindanisha marehemu na Samia uishe.
Ila ukweli utabaki kuwa ukweli Magufuli alikua kiongozi mchapakazi sio tu alivyokua rais bali HATA ALIVYOKUA WAZIRI KATIKA WIZARA ZAKE ALIZOHUDUMU.
Kila kiongozi ana mazuri na mabaya yake,hakuna kiongozi aye mkamilifu.
Ila ukisema tupimie ukubwa wa Magufuli na Samia.
Nadiriki kusema kwa sauti kubwa NI UPUMBA NA UFALA NA UNGESE ULIOTUKUKA KUMFANANISHA MAGUFULI KIUCHAPAKAZI NA SAMIA.
MAGUFULI IS A LEGEND WITH A TREMENDOUS LEGACY USIMFANANISHE NA HUYU MAMA HATA KWA UPUNJE.
MAGUFULI KAIBADILISHA HII TANZANIA NDANI YA MUDA MFUPI TU.
TANZANIA HAIKUWA NA CHA MAANA ILA HUYU JAMAA KALETA VYA MAANA.

MUHESHIMUNI MAREHEMU APUMZIKE KWA AMANI.
Ichoboy na wengineo wakuu msibishane na hao mamluki wa mama samia achaneni nao rudini katika mada husika.
 
Back
Top Bottom