Ziliachwa lini? Mliacha na pesa?
Hizo Sgr na treni zinatembea mliacha ana pesa?
Ndege karibia zote zimekuja mliacha pesa?
Madaraka yote yaliyomalizika na ambayo Yako Mbioni kukamilika kama la Kigongo mliacha bei gani za kujengea?
Bwawa la Nyerere lililokuwa 30% ,mliacha bilini ngazi Ili zimalizike?
Mikoa 3 imeunganishwa na grid ya Umeme unadhani ni kamasi zenu zinafanya?
Serikali inajenga Taza,inajenga mradi wa umeme Kishapu ,inajenga mradi wa Malagarasi,inajenga mradi wa Kakono kote huko unadhani ni mikojo ya wake zenu inalipa? 😂😂🤪
Mwisho ,nimewataka mtaje sekta Kwa sekta,tuanze ipi Hadi ipi maana hamjui chochote zaidi ya kuropoka Kwa msingi wa chuki.