Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nakubaliana na wewe, zile q400 wanatakiwa waongeze kama sita halafu wajenge mini hubs mbeya, dodoma na mwanza, waweke hata mbili mbili tu halafu kuwe kuna direct flight kutoka miji hiyo kwemda miji mimgine direct, kwa mfano mwanza- mtwara, au mbeya- mwanza, dodoma-zanzibar na kadhalika.

Ili waweze kulitendea haki soko la domestic. Watu hela wanazo siku hizi za kupanda ndege.
Unataka kusafiri eti Hadi uweke booking ya wiki Moja kabla,mbaya zaidi unakuta viwanja vya ndani ATCL inaenda mara 3 badala ya Kila siku na Abiria wapo kama wote.

Huko ni kutojielewa.
 
Mbona serikali yenu inakubali watu wenu wawe trafficked? Halafu huwezi pata mtu aliye na maisha mazuri akiwa trafficked. Itakuwaje ni Watanzania pekee wanaokuwa trafficked? Mbona hakuna Wakenya ombaomba Bongolala au Afrika Kusini? 😂 😂
Trafficking ni illegal business kwahiyo ulicholeta ni human trafficking ambako duniani kote hutendeka na Kila serikali inapambana kumaliza. Sasa nyinyi mna illegal undocumented people wako barabarani mmeshindwa kuwatoa wakati mnajua ni illegal.
Jaribu kuja Tanzania hata kwa kuiba uone kama utakaa miezi sita hawajakudavua.
That's is the weakness of your government
 
Kwa Sabab mmezoea hatred ndo maana kwako ni kawaida anyway Tanzania hatuna tribal issues kwahiyo huo ni uchonganishi.
Anyway kama nyinyi wenyewe mnashindwa kaaa kwa makabila yaan mkikuyu hawez iva na mkalenjin ,mkamba, mkisiii ndo mtaweza kuacha rivalries na Tanzanian ambao hawana tribal issues
Nilimuona huyo NairobiWalker kwenye channel yake YouTube. dakika kumi zote anamuuliza kijana wa kichagga about tribes, sjui which tribe is rich etc. Sijui Arusha kabila gani, yaan he was too much focused on tribes.
Nikajua huyu atakuwa mlugaluga tu na mshamba. Ndo wakenya wengi walivyo
Tribes, tribes...kwan zinawasaidia nini
 
South.wanatumia neno "Skoteni" kama mnavyotumia chokoraa. Hivyo huyo.dada sio Msouth.
Nani kasema ni Msouth? Dada ni half Congolese half Rwandese. Alafu hakuna nchi Africa inayotumia neno hobo. Hiyo ni American slang na nchi za Africa including yourself saa zingine hutumia American slang kwa hivo argument yako haimake sense. Kubali nyinyi bongolala huwa na ugumu wa kukubali ukweli na chuki zenu. Kama huyu dada hangekuwa amemention uraia wake kwa profile yake mngekwamilia kabisa eti ni Mkenya lakini leo hamna pa kutokea. Muache kuwa ombaomba.
 
Halafu Durban hawatumii kabisa hii term "hobos". Huyu ni Mkenya mwenzenu.

Durban huita homeless Singular: "Skoteni", plural: "AmaSkoteni".

Mna shida sana Wakenya.
Ni mkenya huyo.
Mwafrika gani atawasifia wakenya sijui hard working, bra bra. Ni wakenya wenyew wenye masifa hayo.
Hata juzi nilikuwa na mnigeria mmoja anasema Hapendi tabia za wakenya kulook down their fellow Africans
Waghana pia wamekuwa wanasema hii kitu kupitia kwa Wodemaya. Maana wakenya wengi wamekuwa wakitukana waghana kisa Trudy ambaye ni mkenya.

Wao hawapendi kuambiwa ukweli lakini ni wa kwanza kuplay victims. Mimi nimeishi Nao hapo Nairobi ni watu wa hovyo mno
 
Nilimuona huyo NairobiWalker kwenye channel yake YouTube. dakika kumi zote anamuuliza kijana wa kichagga about tribes, sjui which tribe is rich etc. Sijui Arusha kabila gani, yaan he was too much focused on tribes.
Nikajua huyu atakuwa mlugaluga tu na mshamba. Ndo wakenya wengi walivyo
Tribes, tribes...kwan zinawasaidia nini
Bongo Sasa hivi hata lugha za makabila hatuzijui.
 
Nilimuona huyo NairobiWalker kwenye channel yake YouTube. dakika kumi zote anamuuliza kijana wa kichagga about tribes, sjui which tribe is rich etc. Sijui Arusha kabila gani, yaan he was too much focused on tribes.
Nikajua huyu atakuwa mlugaluga tu na mshamba. Ndo wakenya wengi walivyo
Tribes, tribes...kwan zinawasaidia nini
Leta link tuwaumbue
 
Shida yenu mnakuwanga watu emotional sana. Kitu kidogo tu mtatoa uchungu wote mliojaza nyoyoni mwenu. 😂 😂
Nyinyi kutoka kusuport apartheid government hadi kuwa marafiki wa victims wa hio Government?
Hakuna mtu ataweza kuvumilia arrogance ya mkenya hata siku moja. Africa nzima inawajua.

Juzi hapa mlifanya the same thing kwa Zambian Airline kuzuia/kutokutoa permits isitue Nairobi. Mpaka wakawapiga ban. Wew unadhan sasa wazambia wanawaonaje kama sio watu wa hovyo na wapumbavu tu hata kama mnaomba msamaha sasa kwa kuwelcome zambian Airline kwa kumwagia maji...

Nakumbuka matusi tuliyopewa na Wakenya tulipopiga marufuku Kenya Airways kisa hamkutaka Air Tanzania cargo itue pale
Always playing victims wakati mna matatizo


Yaan nyinyi mnagombana na kila mtu hapa Africa. Viburi, Ego, roho mbaya, kujiona special vitawamaliza wenyew. Yetu Macho
 
Nani kasema ni Msouth? Dada ni half Congolese half Rwandese. Alafu hakuna nchi Africa inayotumia neno hobo. Hiyo ni American slang na nchi za Africa including yourself saa zingine hutumia American slang kwa hivo argument yako haimake sense. Kubali nyinyi bongolala huwa na ugumu wa kukubali ukweli na chuki zenu. Kama huyu dada hangekuwa amemention uraia wake kwa profile yake mngekwamilia kabisa eti ni Mkenya lakini leo hamna pa kutokea. Muache kuwa ombaomba.
Mkongo na mnyarwanda asiyejua kuandika kifaransa au kilingala ila anajua kiswahili,🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Waambien dada zenu waache kuja kuuza nyapu makole dodoma
 
Nyinyi kutoka kusuport apartheid government hadi kuwa marafiki wa victims wa hio Government?
Hakuna mtu ataweza kuvumilia arrogance ya mkenya hata siku moja. Africa nzima inawajua.

Juzi hapa mlifanya the same thing kwa Zambian Airline kuzuia/kutokutoa permits isitue Nairobi. Mpaka wakawapiga ban. Wew unadhan sasa wazambia wanawaonaje kama sio watu wa hovyo na wapumbavu tu hata kama mnaomba msamaha sasa kwa kuwelcome zambian Airline kwa kumwagia maji...

Nakumbuka matusi tuliyopewa na Wakenya tulipopiga marufuku Kenya Airways kisa hamkutaka Air Tanzania cargo itue pale
Always playing victims wakati mna matatizo


Yaan nyinyi mnagombana na kila mtu hapa Africa. Viburi, Ego, roho mbaya, kujiona special vitawamaliza wenyew. Yetu Macho
Mimi namlaumu kwanza waziri kipindi kile ingebidi tusimamie shoo kama mwez tuone
 
Leta link tuwaumbue
Anajua mwenyew. Ngoja nimtunzie sirí. Maana anajionyesha sura yeye na sijui mdogo wake yule.
Mimi nilimgundua alivyo post picha ya garaje ya bajaji eti anasema mitaa ya moshi. Na kwenye video anaonekana anapiga picha eneo lilelile. Ana DJI pocket 3 na inamsumbua kweli kweli kurekodi. Inabidi atafute tutorial nzr
Ajifunze.
NairobiWalker
 
Nairobi Jacaranda Bloom is here

1000394790.jpg
1000394789.jpg
1000394788.jpg
1000394787.jpg
 
Nyinyi kutoka kusuport apartheid government hadi kuwa marafiki wa victims wa hio Government?
Hakuna mtu ataweza kuvumilia arrogance ya mkenya hata siku moja. Africa nzima inawajua.

Juzi hapa mlifanya the same thing kwa Zambian Airline kuzuia/kutokutoa permits isitue Nairobi. Mpaka wakawapiga ban. Wew unadhan sasa wazambia wanawaonaje kama sio watu wa hovyo na wapumbavu tu hata kama mnaomba msamaha sasa kwa kuwelcome zambian Airline kwa kumwagia maji...

Nakumbuka matusi tuliyopewa na Wakenya tulipopiga marufuku Kenya Airways kisa hamkutaka Air Tanzania cargo itue pale
Always playing victims wakati mna matatizo


Yaan nyinyi mnagombana na kila mtu hapa Africa. Viburi, Ego, roho mbaya, kujiona special vitawamaliza wenyew. Yetu Macho
Usikuwe emotional bro. Sio Mimi nimesema Kuna ombaomba wabongo SA.😂😂
 
Mkongo na mnyarwanda asiyejua kuandika kifaransa au kilingala ila anajua kiswahili,🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Waambien dada zenu waache kuja kuuza nyapu makole dodoma
Ila hii story imewauma bradhee. Ngoja Teargas aje. Yeye ndio atawatia chumvi kwa kidonda vizuri.😂😂😂
 
Back
Top Bottom