Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania ikipostiwa popote mitandaoni lazima ukutane na comment's zao za chuki.
Wanaiogopa Tanzania. 😂😂😂
Endelea kulia. 😂😂😂
Sisi sii mahomeless.
Screenshot 2024-10-30 135059.png
 
Halafu Durban hawatumii kabisa hii term "hobos". Huyu ni Mkenya mwenzenu.

Durban huita homeless Singular: "Skoteni", plural: "AmaStokeni".

Mna shida sana Wakenya.
Nilete mkongomani ambaye anaweza andika kiswahili hivi. And huu ni mwandiko wa mkenya hata upangaji wa maneno " unafikiri natokea sauza" completely Kenya accent

Screenshot_2024-10-30-11-40-38-53_6d38f9fb71a3ceb6095a2b0c4b96ef6d.jpg
 
Kule South Africa wazamiaji wa kikunya huwa wanajitambulisha kama Watanzania.
Na kisa Cha kujitambulisha hivyo wasouth wanawaheshimi sana watanzania kwa sababu ni more peacefully na tunapenda kujimix nao, hatujitengi na hatuna ubaguzi.
Ni nadra sana kukuta mtanzania kafukuzwa au kaleta shida south.
Pia trend ya watanzania kwenda south imepungua sana wamebak kundustan wanakimbilia huko na kujitambulisha kama watanzania
 

View: https://www.instagram.com/p/DBuK5I7NdnG/?igsh=cWdoZ2R0NHgyeW96

My Take: Ni kwamba ATCL wanaamini safari za Kimataifa ndio pekee zitawapa faida? Domestic demand ni kubwa ila hatuoni wakichangamka.

Nakubaliana na wewe, zile q400 wanatakiwa waongeze kama sita halafu wajenge mini hubs mbeya, dodoma na mwanza, waweke hata mbili mbili tu halafu kuwe kuna direct flight kutoka miji hiyo kwemda miji mimgine direct, kwa mfano mwanza- mtwara, au mbeya- mwanza, dodoma-zanzibar na kadhalika.

Ili waweze kulitendea haki soko la domestic. Watu hela wanazo siku hizi za kupanda ndege.
 
Tumeprove vizuri.
👇
Durban hawatumii kabisa hii term "hobos". Huyu ni Mkenya mwenzenu.

Durban huita homeless Singular: "Skoteni", plural: "AmaSkoteni".
Nimekuuliza Kenya tunatumia hobos? 😂 😂
Kenya tunaita Chokoraa.
Yani mnalazimisha huyu dada awe Mkenya kisa amewaambia ukweli. Enyewe Vumbistanis hampendi ukweli. 😂😂
 
Back
Top Bottom