Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


View: https://x.com/SouthernBuses/status/1851528143397347621?t=SbIFm4qY1buxCljZV_P20g&s=19
20241030_120842.jpg
20241030_120847.jpg
 
Huyo ni mkenya. Angalia hata comments ana reply kiswahili kabisa.

Nadhani naprove ile statement yangu kuwa anything bad about Tanzania on internet there must be Kenyan related.

Yaan nyinyi hiz chuki za kuharibu image ya Tanzania mtaacha lini? But God of Tanzania always punishes you. Sio YouTube mara Tanzania are tired of Americans, Mara Tanzania their electric trains zinakwama misituni.
We have a snake Neighbour and we know that.
And no one cares. Mtahangaika wee mwishowe mtaacha


And actually...and there is no point of Mentioning your fellow Africans and saying they are hobos etc. You don't know what they are passing through to be that way. Huo ni ujinga na upumbavu. And bad enough is mentioning other nationalities...hiyo ni spreading hate na xenophobic. Angalia hata comments wamemsema kweli nadhani hatarudia
Nyinyi hata Radi ikipiga iue watu Tanzania mnaweza sema mungu ni Mkenya. 😂 😂
Kubalini dunia nzima inawajua.
Enda ulilie South Africa. Wao ndio wameona Tanzanian homeless people kwa streets zao. Tukiwaambia mnatuita haters. Wacha muambiwe na wengine.😂😂
 
Huyo ni mkenya. Angalia hata comments ana reply kiswahili kabisa.

Nadhani naprove ile statement yangu kuwa anything bad about Tanzania on internet there must be Kenyan related.

Yaan nyinyi hiz chuki za kuharibu image ya Tanzania mtaacha lini? But God of Tanzania always punishes you. Sio YouTube mara Tanzania are tired of Americans, Mara Tanzania their electric trains zinakwama misituni.
We have a snake Neighbour and we know that.
And no one cares. Mtahangaika wee mwishowe mtaacha


And actually...and there is no point of Mentioning your fellow Africans and saying they are hobos etc. You don't know what they are passing through to be that way. Huo ni ujinga na upumbavu. And bad enough is mentioning other nationalities...hiyo ni spreading hate na xenophobic. Angalia hata comments wamemsema kweli nadhani hatarudia
This proves what I've always said about Tanzanians. Your hatred of Kenya is based on misinformation and inferiority complex. Yani Kila kibaya Cha Tz mnablame Kenya na mnaamini hivo. Sasa unapata mtu maisha yake yote amekaa Tandale hata hajawai kutana na Mkenya ila ana chuki dhidi ya Wakenya ajabu. Mtu akitokea popote aseme ukweli kuhusu Tanzania ambao hampendi mnasema eti huyo ni Mkenya.😂😂😂😂

Yani ni Raha.😂😂
 
This proves what I've always said about Tanzanians. Your hatred of Kenya is based on misinformation and inferiority complex. Yani Kila kibaya Cha Tz mnablame Kenya na mnaamini hivo. Sasa unapata mtu maisha yake yote amekaa Tandale hata hajawai kutana na Mkenya ila ana chuki dhidi ya Wakenya ajabu. Mtu akitokea popote aseme ukweli kuhusu Tanzania ambao hampendi mnasema eti huyo ni Mkenya.😂😂😂😂

Yani ni Raha.😂😂
What is this girl talking about?
Yaani opinion ya mtu mmoja?? Mi ndio kwanza nasikia kwake.
 
Ni sawa tuu na kusema Haina maana hata isipokuwepo na hata wakati haipo walikuwa wanakuja.

Hatujawahi kuwa na upungufu wa mashirika ya ndege ya Kimataifa,ndio maana hiyo ATCL yenu inategemea ruzuku ,hata ikifutwa Leo Utalii hautashuka utapanda kama kawaida.

My Take: Badala ya kuhangaika na routes za Nje Zenye ushindani wajikite ruti za ndani ambazo Wana comparative advantage
ww kweli ni kuchaa tena kinyaa 😂😂🙌🏻🙌🏻
 
This proves what I've always said about Tanzanians. Your hatred of Kenya is based on misinformation and inferiority complex. Yani Kila kibaya Cha Tz mnablame Kenya na mnaamini hivo. Sasa unapata mtu maisha yake yote amekaa Tandale hata hajawai kutana na Mkenya ila ana chuki dhidi ya Wakenya ajabu. Mtu akitokea popote aseme ukweli kuhusu Tanzania ambao hampendi mnasema eti huyo ni Mkenya.😂😂😂😂

Yani ni Raha.😂😂

View: https://youtu.be/a1UgKAzpgi8?si=gO1cwavMOzV98dw9

Media za Tanzania hazina hata habari na kenya
 
huyo ni mkenya tu na typical Kenyans ni mdomo . Walau angekuwa ni msouth mwenyewe kacomment ningemkubali lakini actually huwez Kuta south Africans having issues with Tanzanians .
And tunaprove ya mpaka media zenu kufanya kampeni kuchafua tanzania
View attachment 3138973
Stating facts sio chuki bro. Mbona Wanaijeria na Wazimbabwe na Waganda wametajwa na hawasemi ni chuki? Yani lazima mtu akuchukie ndio aseme kitu negative kukuhusu?😂😂

Kwa account yake anasema yeye ni Rwandese/Congolese. Hivi hujui Rwandese na Congolese wanaongea Kiwahili? Alafu yeye mwenyewe kasema haogopi Wakenya, hajasema yeye ni Mkenya. Kubalini hampendi kuambiwa ukweli na mna chuki dhidi ya Wakenya. Muache kuwa homeless nchi za watu. Mnatutusi humu tunafanya kazi za nyumbani kwa Waarabu wakati nyinyi ni ombaomba kwa nchi za watu. 😂 😂

1000394484-png.3138966
 
This proves what I've always said about Tanzanians. Your hatred of Kenya is based on misinformation and inferiority complex. Yani Kila kibaya Cha Tz mnablame Kenya na mnaamini hivo. Sasa unapata mtu maisha yake yote amekaa Tandale hata hajawai kutana na Mkenya ila ana chuki dhidi ya Wakenya ajabu. Mtu akitokea popote aseme ukweli kuhusu Tanzania ambao hampendi mnasema eti huyo ni Mkenya.😂😂😂😂

Yani ni Raha.😂😂
Wacha kujitia umuhimu nyie kunyans are nothing to us peleka ukaoshe kalio.
 
Back
Top Bottom