Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lazima upost hii baada ya defeat. 😂😂😂 zuzu wewe.
Defeat gani baboon? Nazipost cause I don’t have the energy to argue with baboons like you.
IMG_0519.jpeg
 

View: https://www.instagram.com/p/DBuK5I7NdnG/?igsh=cWdoZ2R0NHgyeW96

My Take: Ni kwamba ATCL wanaamini safari za Kimataifa ndio pekee zitawapa faida? Domestic demand ni kubwa ila hatuoni wakichangamka.

Acha atcl ijitanue kwa kwenda nje, maana kwa central corridor ni kama anaenda kupungukiwa wateja hasa kutokana na ujio wa sgr ma sehem zote imekuwa hivyo, treni imekuwa ikipelekea muyumbo kwenye mabasi na ndege kwa hivyo ni vyema kujiandaa mapema.
Atcl inatakiwa ikalete wageni wengi sana kutoka nje huku sgr ikipanbana na safar za ndani
 
Back
Top Bottom