Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Business gap waliyoiona TRC ni excesive demand waliyonayo, sasa hii inakuja kuzibwa na hii price descrimination waliyoamua kuiweka, mtu ambaye anapata safari ya ghafla atapata usafiri, hakuna tena kubook a week before kama ilivyo sasa. Ni economics tu sema watu wetu wengi ujamaa umewapumbaza.
Ila at least kungewepo na daraja jingine la letsay premium economy kwa 70,000 au kama vipi wangeweka treni nyingine za mchongoko ambazo zingekuwa juu kidogo ya hizi economy ya Sasa.
Kwa dalili zilizopo wale wateja wa business kwenye hizi za kawaida wanaenda pungua kwa kiasi kikubwa
 
Yes according to mama ngina statistics 😂😂😂
You can't argue with facts. Your transport sector bado ni ndogo sana compared to Kenyan.
Screenshot_20241027-114510.png
 
Ndugu Tsh 150,000 ni ndogo sana. Kwetu sisi tunaopiga route kwa kuendesha gari from Dar to Dodoma ni kawaida sana.

Mfano mimi huwa najaza Full Tank kutoka Dar kwenda dodoma Liter 60. Ninafika dodoma Mafuta yameisha.

So piga hesabu mafuta Liter 60x 3,000 = Tsh 180,000. Plus umechoka umefanyia gari service. Guys hebu tuache ulalamishi ambao hauna tija. Mimi mwenyewe nitaacha kweda Dodoma na Gari.

I will be using Royal.
hapa hatuzungumzii gari bro hapa tunazungumzia usafiri wa umma, siku zote TRC wanasema treni ya abiria iko kwa ajili ya kutoa service haiko kibiashara au sio hvo wanavosema kaka???

hvi nikuulize unataka kunambia mtu wa hali ya chini hatamani kupanda mchongoko?? kila mtanzania anataman hvo wanapaswa kuweka bei ambayo hata mtu wa chini anshawishika kupambana apate pesa ambayo iwe reasonable
 
Ebu tuambie nani aliehesabu watu kibera wakapata wako 2.5M. Wewe ama? Alafu hiyo population unataka kukula ni according to who?
nimekuuliza sensa ya mama ngina ya kuwadanganya na kuwatia ujinga???

😂😂😂😂😂 ndio maana wanasiasa wanawatua ujinga nyinyi munaibiwa huku munaona
 
nimekuuliza sensa ya mama ngina ya kuwadanganya na kuwatia ujinga???

😂😂😂😂😂 ndio maana wanasiasa wanawatua ujinga nyinyi munaibiwa huku munaona
Hiyo Census is a what is recognized world wide. Wewe kama haikufurahishi basi Rudi kwenu Yemen. By the way Yemen ishaifanya census? Ama ulikimbia huko before walihesabu?
 
hapa hatuzungumzii gari bro hapa tunazungumzia usafiri wa umma, siku zote TRC wanasema treni ya abiria iko kwa ajili ya kutoa service haiko kibiashara au sio hvo wanavosema kaka???

hvi nikuulize unataka kunambia mtu wa hali ya chini hatamani kupanda mchongoko?? kila mtanzania anataman hvo wanapaswa kuweka bei ambayo hata mtu wa chini anshawishika kupambana apate pesa ambayo iwe reasonable
Sasa ndugu service ya mabehewa na kulipia operations pesa zitatoka wapi? Sometimes we need to adopt changes. Tusupende vya bure. Ndio maana mashirika ya umma yanakufa kwa kuendekeza fikra hizi.
 
😂😂😂😂😂 ndio maana wanasiasa wanawatua ujinga nyinyi munaibiwa huku munaona
Ni wapi hii Dunia wanasiasa hawaibi? For your information Tanzania and Yemen are more corrupt than Kenya.
 
Sasa ndugu service ya mabehewa na kulipia operations pesa zitatoka wapi? Sometimes we need to adopt changes. Tusupende vya bure. Ndio maana mashirika ya umma yanakufa kwa kuendekeza fikra hizi.
ikiwa wanatuambiwa ni service basi walete bei za kitanzania

hapa hatuzungumzii vya bure kaka tunazungumzia bei iliowekwa ni kubwa sana kwa mtanzania wa kawaida

watanzania wanategemea SGR kua mkombozi wao kwenye usafiri na biashara
 
Ni wapi hii Dunia wanasiasa hawaibi? For your information Tanzania and Yemen are more corrupt than Kenya.
miaka yote munadanganywa na wanasiasa wenu kua nyinyi muna uchumi mkubwa sijui supa pawa

haya ndio madhara ya ku fake life na uongo sasa 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

hii ni moja ya alama kua kenya is a failed state, na inatia shaka sana juu uchumi wenu


View: https://x.com/citizentvkenya/status/1850383223747981424?s=46

View: https://x.com/milimumoses/status/1850387398561067012?s=46

View: https://x.com/mosese1538924/status/1850387023862919277?s=46
 
There's no country in East Africa that can compete with Kenya in terms of Transpiration. Nyinyi tafuteni South Sudan cause it seems you have already accepted that Burundi is ahead of Tanzania.
Fool What is transpiration? Do u have water vessels n cross countries pipeline or a single gas pipeline to claim u r ahead in transportation?
 
miaka yote munadanganywa na wanasiasa wenu kua nyinyi muna uchumi mkubwa sijui supa pawa
Kwani ni uongo? Kama hufurahishwi na uchumi wa Kenya basi peleka malalamiko Yako kwa World Bank ama IMF.

Kenya is the East African SuperPower whether you like or not.
 
Back
Top Bottom