Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu jibu hoja na toa facts. Hatupo kwenye mipasho hapa.
Nyinyi miaka mitatu yote toka mzee ametutoka mko mnamlaumu marehemu bwana.

Na msivyo na akili mnasusa na kutelekeza wakati Tanzania kote ni nchi moja.
Ndio Kwa sababu alijenga miradi hewa.

Hoja gani? Huko Kijijini Chato Kuna kipi Cha maana? Ndio SSH alikataa kutoa hadhi ya Mkoa Hadi hapo Kijiji kitakokuwa Mji. Mambo ya kukurupuka sio dili 👇👇

View: https://x.com/Jambotv_/status/1849420295616029103?t=BwziMzkAS2wZncnNA2t0oA&s=19
 
Ruiru town
Kiambu County
FB_IMG_1702969125738.jpg
 
Msimlaumu Magufuli kwa ujinga wenu. Nyinyi ndo mmeususa huo uwanja. Mgeuendeleza hata kwa kujenga cold rooms, cargo stores/ godowns na Kaairport Terminal kadogo samaki wote wa kanda ya ziwa wangekuwa exported kutokea pale. Chato sio mbali na Muleba Wilaya yenye visiwa kibao wanaojua kuvua dagaa wale dagaa Bukoba..samaki wote wa kanda ya ziwa wangekuwa dried huko na kuwa exported abroad kupitia hapo. Hata air Tanzania cargo kila wiki mara moja ingekuwa inatua pale.
Toa hata billion tano kwa ajili elimu za muda mfupo kwa wananchi/ wavuvi jinsi logistics inavyofanya kazi kwa wenyeji wa ziwa victoria.

Sio lazima kila uwanja uwe wa abiria.

Bukoba ndizi zinaozea Mashambani, mihogo, matunda inaharibika kuja hadi Dar, maharage mabichi. Ningependa kuona canters, maroli yanaenda hadi vijijini migombani kuchukua fresh foods to and and fro Chato Airport for export. Halafu mko kulaumu hapa GDP haiongezeki.

Nyinyi miaka miaka mitatu mko mnamlaumu Mzee Magufuli
Kwani wakati anajenga hakujua kuwa ni Kijijini ? Kwanini apeleka uwanja sehem anayojua kabisa hata kujaza basi Moja la watu 54 ni kazi upeleke uwanja wa ndege.
Hakuishia hapo akajenga na stendi kabisa Ile stendi hata kuingiza 90,000 kwa siku ni kazi. Huoni kama hiyo miradi hewa na hasara kwa taifa.
Yaan uzembe wa magu tusiseme. Magu aliliangusha taifa huo ndo ukweli
 
Back
Top Bottom