Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu naandika maneno machache tu ya mwisho ili tuachane na hii mada.
Kiufupi miradi aliyoanzisha Magufuli ni more vital,sijasema kuwa Kikwete hana jema.
ILA KUMFANANISHA KIKWETE NA MAGUFULI NI KUMDHALILISHA MAGUFULI.
Unajenga terminal 2 ya airport halafu hauna shirika shindani la serikali!?
Barabara alizojenga mkwere nyingi ni chini ya kiwango nakuomba jaribu kupita hizo barabara ulizosema halafu uje useme mwenyewe zina hali gani kwasasa.
Huko kujenga chuo sawa tunamsifia.
Umeshasahau msingi wa kuelekea katika hivyo vyuo ikiwemo UDOM ameurahisisha Magufuli kwa kuleta elimu bure.
Raia wengi walikua wanakwama chini kwa kushindwa kwenda shule kwa ada na michango lukuki iliyopo shule za serikali.
Usisahau na miundombinu muhimu ya kupunguza foleni Dar kama Interchange ya Ubungo.
Usisahau upanuzi wa Kimara-Kibaha highway.
Usisahau daraja la Kigogo-Busisi ambalo litawarahisishia raia hao kupunguza masaa ya safari ambayo ilikua inawagharimu kwa kuvuka na kivuko kwa muda mrefu.
Mwisho niseme kitu kimoja mkuu.
Magufuli alikua ni kiongozi wa utofauti kabisa.
Alikua ni mtu wa uthubutu kuliko yeyote aliyetangulia na hata wa sasa.

"Wanatanua Kuwa Njia 6"
Ila jangwani Inajengwa Njia 4

Da! Haya tuishie hapo
Maajabu haya!
 

View: https://x.com/ayubu_madenge/status/1849385315443589533?t=3XOey-dQOGELS23ySOVrSQ&s=19
20241024_145153.jpg
 
Chato airport vipi inafanya kazi au sio hasara
Msimlaumu Magufuli kwa ujinga wenu. Nyinyi ndo mmeususa huo uwanja. Mgeuendeleza hata kwa kujenga cold rooms, cargo stores/ godowns na Kaairport Terminal kadogo samaki wote wa kanda ya ziwa wangekuwa exported kutokea pale. Chato sio mbali na Muleba Wilaya yenye visiwa kibao wanaojua kuvua dagaa wale dagaa Bukoba..samaki wote wa kanda ya ziwa wangekuwa dried huko na kuwa exported abroad kupitia hapo. Hata air Tanzania cargo kila wiki mara moja ingekuwa inatua pale.
Toa hata billion tano kwa ajili elimu za muda mfupo kwa wananchi/ wavuvi jinsi logistics inavyofanya kazi kwa wenyeji wa ziwa victoria.

Sio lazima kila uwanja uwe wa abiria.

Bukoba ndizi zinaozea Mashambani, mihogo, matunda inaharibika kuja hadi Dar, maharage mabichi. Ningependa kuona canters, maroli yanaenda hadi vijijini migombani kuchukua fresh foods to and and fro Chato Airport for export. Halafu mko kulaumu hapa GDP haiongezeki.

Nyinyi miaka miaka mitatu mko mnamlaumu Mzee Magufuli
 
Msimlaumu Magufuli kwa ujinga wenu. Nyinyi ndo mmeususa huo uwanja. Mgeuendeleza hata kwa kujenga cold rooms, cargo stores/ godowns na Kaairport Terminal kadogo samaki wote wa kanda ya ziwa wangekuwa exported kutokea pale. Chato sio mbali na Muleba Wilaya yenye visiwa kibao wanaojua kuvua dagaa wale dagaa Bukoba..samaki wote wa kanda ya ziwa wangekuwa dried huko na kuwa exported abroad kupitia hapo. Hata air Tanzania cargo kila wiki mara moja ingekuwa inatua pale.
Toa hata billion tano kwa ajili elimu za muda mfupo kwa wananchi/ wavuvi jinsi logistics inavyofanya kazi kwa wenyeji wa ziwa victoria.

Sio lazima kila uwanja uwe wa abiria.
Bukoba ndizi zinaozea Mashambani, mihogo, matunda inaharibika kuja hadi Dar, maharage mabishi. Ningependa kuona canters, maroli yanaenda hadi vijijini migombani kuchukua fresh foods to and and fro Chato Airport for export. Halafu mko kulaumu hapa GDP haiongezeki.

Nyinyi miaka miaka mitatu mko mnamlaumu Mzee Magufuli
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ Kwa nini yeye hakujenga na kutumia kibiashara?

Kule Kijijini alijenga uwanja wa kazi gani?
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ Kwa nini yeye hakujenga na kutumia kibiashara?

Kule Kijijini alijenga uwanja wa kazi gani?
Hebu jibu hoja na toa facts. Hatupo kwenye mipasho hapa.
Nyinyi miaka mitatu yote toka mzee ametutoka mko mnamlaumu marehemu bwana.

Na msivyo na akili mnasusa na kutelekeza wakati Tanzania kote ni nchi moja.
 
Back
Top Bottom