Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Huyo mwarabu hakuna kitu huwa anajua.Mbona kama editing mwenyekiti 😂😂😂
Huyo mwarabu hakuna kitu huwa anajua.Mbona kama editing mwenyekiti 😂😂😂
Alafu 80% ni madeni.GDP Kati ya Kenya na Tanzania imekuwa widen to $40B.
Hizi hekaya zenu mnazipenda sanaKwa wenzetu 🇰🇪 mfanya kazi au mfanya biashara wa kati kumiliki ardhi karbu na miji au majiji ni ndoto.Ndomaana matajiri wachache manaomiliki mapande makubwa ya ardhi hujenga magorofa kwa ability ya kupangisha kama ya chini au kuuza kwa kama ya kati.
Na bado tunawapea pesa. Alafu remember over 60% za hizo deni ni za wakenya. In Tanzania 90% of your debts ni za foreigners.Alafu 80% ni madeni.
Wewe ni mgeni kwenye hii battle, hawa wakenya tumetoka nao mbali sana, tangu enzi zile za "show me even 1 flyover" na kiukweli huna cha kuonesha, enzi zile mkenya anapost dreamliner alafu wewe huna hata Q400, wewe wakati huo upo jukwaa la warembo sisi tunapata shida huku, sasa unapomtajataja Magufuli kuwa makini mkuu, with due respect.
But there is nothing Tanzania is ahead of Kenya. Tanzania have just tried to do catch up with Kenya but still your country is nowhere near Kenya.Hiyo miaka tulikiwa hatuwezi kubato na kunyani maake kila idara wametupiga na kukudi data maake mm binafsi nilikuwa nachungulia bila aid na kutoka nduki mnakumbuka vitasa vya MK54 na ndiyo mkenya mkweli tu hapa jf kama alijuwa kuwa Ruto ameshinda maisha Kenya yatakuwa magumu hatakuwepo jf alijua tunaenda kuwapiga ko mazima
Hujasoma huo ujembe wa jamaa na kuulewa, mchizi ameeleza wazi kwamba mkenya mkweli humu alikua ni mk54, na ndio mana hata wewe unauliza swali la kimaandazi kwasababu ni dhahiri wewe si mkweli. 😂😂😂But there is nothing Tanzania is ahead of Kenya. Tanzania have just tried to do catch up with Kenya but still your country is nowhere near Kenya.
Mazao ya nyumba zile za ibada "tusimame na flani ni mwezetu" 😂 😂Wewe ni mgeni kwenye hii battle, hawa wakenya tumetoka nao mbali sana, tangu enzi zile za "show me even 1 flyover" na kiukweli huna cha kuonesha, enzi zile mkenya anapost dreamliner alafu wewe huna hata Q400, wewe wakati huo upo jukwaa la warembo sisi tunapata shida huku, sasa unapomtajataja Magufuli kuwa makini mkuu, with due respect.
Sio tu maskini bali pia ni chokoraa!Everyone in JF knows, how poor you are.
Tunachafua thread ya watu, nimekuwepo mwanzo mwisho ila kwa hapa siwez changia tukutane sehemu thread nyingine .hapa sichangii hata kwa dawaWewe ni mgeni kwenye hii battle, hawa wakenya tumetoka nao mbali sana, tangu enzi zile za "show me even 1 flyover" na kiukweli huna cha kuonesha, enzi zile mkenya anapost dreamliner alafu wewe huna hata Q400, wewe wakati huo upo jukwaa la warembo sisi tunapata shida huku, sasa unapomtajataja Magufuli kuwa makini mkuu, with due respect.
Nchi ya kidemokrasia 😁😁👇👇What’s the work of your rail if up to date you are still using roads to transport train coaches? Ama ni lazima watu wakule?
Nchi ya kidemokrasia 😁😁👇👇
View: https://x.com/orengo_james/status/1849120068212314451?t=T6SxZmQrLk6mplpAkXgfxQ&s=19
Nyani haoni kundule; ashakum si matusi, wahenga walisema😎NairobiWalker anakwambia Ni Tanzania tu watu wakiwa against na serikali wanauawa..
Wakati nchini kwao mambo ni worse na hiyo democracy yao wanayotamba nayo