Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huku World Cup women U17 wamebondwa na North Korea na wametolewa
Wapo kimya humu

Screenshot_20241024-082131~2.png
 
Nani aogope mwenye hajui kwao?😂😂🤣😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hujasoma huo ujembe wa jamaa na kuulewa, mchizi ameeleza wazi kwamba mkenya mkweli humu alikua ni mk54, na ndio mana hata wewe unauliza swali la kimaandazi kwasababu ni dhahiri wewe si mkweli. 😂😂😂
MK254 sio mkweli na ni mkenya hatari sn hawa wote humu ndiyo Mungu wao, ni mtu aliyeichafua Tanzania kwa miaka mingi sana, kwa sasa hana cha kuongea na ndiyo maana alikimbia humu yupo kwenye majukwaa mengine kule, huyo jamaa ukiona muandiko wake unaweza kusema ni mtanzania lkn ni mkenya yule wa kizamani kabisa. Mkenya mkweli ni Tony254 na mwaswast
 
Back
Top Bottom