Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi vitu unaweza kuchukulia poa kwa vile Bongo tumezoea hizi projects, D254 ana kila sababu ya kusema ITS INSANE CONSTRUCTIONS coz ukiangalia nchi za sub sahara huku namna Bongo inatimua vumbi ndio utapata picha, walikuja wa Zim juzi kati hapa, nikawapa tour ya jiji, macho yaliwatoka kuona mji mzima uko kwenye contructions na kupata a grimps ya vitu Baabkubwa vinavyokuja, one folk alisema “its for real Tanzania is on the move” wameahidi kurudi baada ya miaka 2 kupiga picha.
Wasiera leone nao niliwaona wapo dar kuonyeshwa jiji
 
Hawa wangepea China CCCC ,Hawa Yapi wako very slow itawachukua 7yrs!!! and infrastructure zao ziko chini sana.
China wangemaliza na 2yrs.
Etieeehh, aya kufa kabisa 👇👇👇👇😂😂😂😂
Screenshot_20241010-132800~2.png
 
kwani nn kinazuia SGR ya. Tanzania kuungana na Uganda kupitia Kagera-Isaka?
Kampala- Mombasa 1150km
Kampala- dar 1690km
Kinacjoibeba Kenya kufika Kampala .
Makubaliano ilikuwa Rwanda waunganishwe kutoka isaka ila mpaka Sasa naona kwa upande wa Rwanda Bado wanasikilizia maana bila kuunganishwa na kongo, Rwanda haiatakuwa na mzigo wa kutosha kuweza fidia gharama za ujenzi na Bado hawako vizuri na Drc.
Ujenzi kwa Sasa umeconcentrate kwenda Burundi kwa sababu imegundulika Kuna madini ya nickel na cobalt kwa upande wa kabanga kgm wakati kwa Rwanda hakujawa na mzigo wa uhakika zaid ya kuimportbna ujenzi wa kipande Cha kwenda kigoma ukiwa unaendelea na kwa upande wa Burundi trc ilipewa jukumu la kumtafuta mkandarasi kwa upande Tanzania na Burundi, huku Afdb ikiwa imekubali kufadhili ujenzi.
 
Back
Top Bottom