Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Najua saa hii mnaumia kuona Uganda is choosing Kenyan SGR over yours😂😂
Makubwa 😂😂😂 juzi tu tume sign dili ya ku renovate reli yetu ya Tazara ili iwe SGr ya umeme, we are developing our railways to connect mataifa matano yanayotuzunguka, tuogope kukosa Uganda.? 😂😂😂😂 Kimsingi tunao Kongo drc, Zambia, Malawi, Rwanda na Burundi. Huku kote kuna Mzigo wa maana.
 
Makubwa 😂😂😂 juzi tu tume sign dili ya ku renovate reli yetu ya Tazara ili iwe SGr ya umeme, we are developing our railways to connect mataifa matano yanayotuzunguka, tuogope kukosa Uganda.? 😂😂😂😂 Kimsingi tunao Kongo drc, Zambia, Malawi, Rwanda na Burundi. Huku kote kuna Mzigo wa maana.
Wacha uongo Mchina ha-convert CGR kuwa SGR! Ana-renovate iliyopo na anaweza Iweka hata umeme!
 
1728915866193.jpeg
1728915821905.jpeg
1728915697327.jpeg
Screenshot_20240727-092845~2.png

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👉🇰🇪👉🕳️🗑️💩💩💩💩
 
Makubwa 😂😂😂 juzi tu tume sign dili ya ku renovate reli yetu ya Tazara ili iwe SGr ya umeme, we are developing our railways to connect mataifa matano yanayotuzunguka, tuogope kukosa Uganda.? 😂😂😂😂 Kimsingi tunao Kongo drc, Zambia, Malawi, Rwanda na Burundi. Huku kote kuna Mzigo wa maana.
Mnarenovate MGR ikue SGR ya umeme? Nikekuambia mara ngapi usijihusishe na vitu ulivyo na zero knowledge navyo? Kila siku unajiaibisha humu.
 
Ndio state of art bus stand yenu sio?

Hongera 😂😂😂 alafu Mbona Bus Chache hivyo kwa mji kama mombasa (Tupigie full view basi) 😂😂😂
Hapo ni Hoteli and every bus has their own favorite hotel. Mbona watanzania mnakuanga Fala hivi?

This is purely easy coach in Nakuru heading to western Kenya.

1728924049227.jpeg
 
Back
Top Bottom