Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumpeleka mpaka keza ingekuwa magoli sana kuliko ipitie Burundi.
Kutoka Rwanda kwenda goma ni rahisi sana
Pia nadhani kuna siasa hapo Burundi atakuwa kafanya lobbying kubwa ku outwit Rwanda on first rail link to DRC so that Burundi can be at the centre of rail connectivity in EA.
From Burundi utapata rail traffic from DRC, Rwanda and Tz
 
Pia nadhani kuna siasa hapo Burundi arakuwa kafanya lobbying kubwa ku outwit Rwanda on first rail link to DRC so that Burundi can be at the centre of rail connectivity in EA.
From Burundi utapata rail traffic from DRC, Rwanda and Tz
Hakuna aliyerob, Burundi in 6% ya nickel inayopatikana duniani na estimation ilikuwa 3mil ton kwa mwaka zingeweza pitia dar kwa hiyo ujenzi umelenga sana madini hayo.
Kwa Rwanda nahisi wanataka waone kipande Cha isaka kikamilike. Ila plan ya kuifikisha keza Bado ipo ugumu uko upande wa Rwanda gharama ni kubwa sana kwa sababu ya milima mingi Bado anasita kwa hilo
 
Lupaso sahiii
IMG_2079.jpeg
 
Pole kwa masaibu, nyumbani mbele ya mashabiki mnakula kichapo cha mbwa!!!, tena ilibaki kidogo wafunge tatu :Agakakskagesh: :Agakakskagesh: 😀😀.., na sio ile DRC ya zamani hii ya kawaida sana.., sio kama Cameroon hehehe
Angalau Taifa stars ina nafasi kuliko Kenya.
Taifa stars inakuja kumfunga Ethiopia na kusare na Guinea inapita.
Vipi wewe ndugu yangu??
Goal difference inakuhukumu pabaya sana.
 
Hata Zambia imekuzidi wewe katika FIFA ranking lakini Tanzania tukamfunga.
Hata Greece ilishinda England yet Greece is ranjed position 56 Globally while England is position 4. Football hakunanga cha nimepiga yule sasa naezakugunga pia, but hiw can a quack like you know such?😂😂😂.

Anyway mbona msigunge DRC? Tanzania is a Sportless nation😂😂😂👇👇


View: https://x.com/Tanfootball/status/1846204062879867009
 
Pole kwa masaibu, nyumbani mbele ya mashabiki mnakula kichapo cha mbwa!!!, tena ilibaki kidogo wafunge tatu :Agakakskagesh: :Agakakskagesh: 😀😀.., na sio ile DRC ya zamani hii ya kawaida sana.., sio kama Cameroon hehehe
We've played the same number of games, we have the same points but they feel they're ahead of us.🤣
 
Hata Greece ilishinda England yet Greece is ranjed position 56 Globally while England is position 4. Football hakunanga cha nimepiga yule sasa naezakugunga pia, but hiw can a quack like you know such?😂😂😂.

Anyway mbona msigunge DRC? Tanzania is a Sportless nation😂😂😂👇👇


View: https://x.com/Tanfootball/status/1846204062879867009

Huwa unazungumza usenge na huwa haujui mpira kabisa.
Hiyo England kila leo mara ipande mara ishuke.
England haina timu bora na soon inashuka hapo ilipo.
Hata katika rank inaonesha mstari mwekundu kushuka chini.
Tanzania imeonesha progress tokea mwaka juzi unalijua hilo!?
Katizame Zambia rank yake na Tanzania rank yake halafu tizama wamekutana mara ngapi kwa hii misimu mitatu na uone matokeo yake.
Sio unaropokwa kama umekalia ukuni.
 
Back
Top Bottom