Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jana nimesikitika sana. Tumefika 2115 badala ya 2110 😎😎
20241014_212103.jpg
 

View: https://youtu.be/57jGPSN1RIQ?si=V94vUXcwkUvJZ854 hili pigo takatifu,brt phase 2,3 na 4 kwa pamoja!kibera chokoraa wanastahili haya maumivu

Hivi vitu unaweza kuchukulia poa kwa vile Bongo tumezoea hizi projects, D254 ana kila sababu ya kusema ITS INSANE CONSTRUCTIONS coz ukiangalia nchi za sub sahara huku namna Bongo inatimua vumbi ndio utapata picha, walikuja wa Zim juzi kati hapa, nikawapa tour ya jiji, macho yaliwatoka kuona mji mzima uko kwenye contructions na kupata a grimps ya vitu Baabkubwa vinavyokuja, one folk alisema “its for real Tanzania is on the move” wameahidi kurudi baada ya miaka 2 kupiga picha.
 
Ndo maana nikakuambia ni zumbukuku hakuna chassis ya basi yenye p na kwa taarifa yako chassis yenye p Ina maanisha low forward cab yaan can yake inakuwa flat au Iko chini na Kuna four types kulikuwa na r ambayo ni
R high forward control
P low forward control
T bonneted yenye pua
S high deck
Tukija kwenye mabasi
Chasing zinakuwa either
F front engine
K rear engine
Sasa ukisema hiyo basi ni scania p410 Inamaanisha ni Lori, kwahiyo tulitegemea tuone kichwa Cha Lori na kama ni basi basi either lilitakiwa liwe scania f 410 hakuna scania p410 basi
Kingine hiyo Masai dashboard ni ya r 114- 340
Kwa simple analysis tu ni kuwa Kenya hakuna mabasi ila ni malori yaliyochongwa
Tena P ni day cab haina kitanda for nearby deliveries
 
Back
Top Bottom