Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanatakiwa atach zilizobaki washunde zote ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ Na Zimbabwe na Cameroon wabaki hivyo hivyo walivyo kwenye msimamo. It is almost impossible. Wamegongwa na wametolewa... Zimbabwe akimgonga tu kweisha habari yake ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ


1728967689045.png
 
Usiwasemee wakenya wenye pesa na akili timamu, poor boy ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Can you afford staying in Arusha for at least 1 day..? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ukiamka utakua broke same day. Kwahyo kwa kimya.
IQ kubwa kweli, wakenya wamekuja landrove festival Kwa wing , Yani nyie akili mlizonazo ni za Kula ugali Tu.
 
ya kwenu iko wapi mulioanza ujenzi kwenda malaba ???๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Miaka 10 Uganda aliingia mkataba na wachina kuanza ujenzi ila walikaa miaka Saba bila kuanza na sharti lilikiwa mpaka wakenya wafikishe malaba ndo ujenzi uanze, Leo kasaini tena na mturuki kuanza ujenzi lakini upande wa Kenya hawajapata hata mkandarasi wa kuanza ujenzi
 
Miaka 10 Uganda aliingia mkataba na wachina kuanza ujenzi ila walikaa miaka Saba bila kuanza na sharti lilikiwa mpaka wakenya wafikishe malaba ndo ujenzi uanze, Leo kasaini tena na mturuki kuanza ujenzi lakini upande wa Kenya hawajapata hata mkandarasi wa kuanza ujenzi
hakuna kitu hapo kaka kil siku wanasaini MoU ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Miaka 10 Uganda aliingia mkataba na wachina kuanza ujenzi ila walikaa miaka Saba bila kuanza na sharti lilikiwa mpaka wakenya wafikishe malaba ndo ujenzi uanze, Leo kasaini tena na mturuki kuanza ujenzi lakini upande wa Kenya hawajapata hata mkandarasi wa kuanza ujenzi
Kwa hili tuwahurumie kunyan,namvyojua mu7 TZ tukitaka kuleta umafia mu7 asijenge hiyo reli tunaweza
 
Wanatakiwa atach zilizobaki washunde zote ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ Na Zimbabwe na Cameroon wabaki hivyo hivyo walivyo kwenye msimamo. It is almost impossible. Wamegongwa na wametolewa... Zimbabwe akimgonga tu kweisha habari yake ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ


View attachment 3125385
Na Zimbabwe hamuachi lazima amgonge mimba nyingine akajifungue mapacha, saizi yanaomba Mungu na stars nao wafungwe jinsi yalivyo na roho mbaya, yenyewe ni non football country lkn yanataka kujilinganisha na football nation ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ โค๏ธ โค๏ธ ๐Ÿ˜˜ ๐Ÿ˜˜
 
Back
Top Bottom