ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
IQ kubwa kweli, wakenya wamekuja landrove festival Kwa wing , Yani nyie akili mlizonazo ni za Kula ugali Tu.Usiwasemee wakenya wenye pesa na akili timamu, poor boy ๐๐๐. Can you afford staying in Arusha for at least 1 day..? ๐๐๐ ukiamka utakua broke same day. Kwahyo kwa kimya.
Miaka 10 Uganda aliingia mkataba na wachina kuanza ujenzi ila walikaa miaka Saba bila kuanza na sharti lilikiwa mpaka wakenya wafikishe malaba ndo ujenzi uanze, Leo kasaini tena na mturuki kuanza ujenzi lakini upande wa Kenya hawajapata hata mkandarasi wa kuanza ujenziya kwenu iko wapi mulioanza ujenzi kwenda malaba ???๐๐๐๐๐
hakuna kitu hapo kaka kil siku wanasaini MoU ๐๐๐๐Miaka 10 Uganda aliingia mkataba na wachina kuanza ujenzi ila walikaa miaka Saba bila kuanza na sharti lilikiwa mpaka wakenya wafikishe malaba ndo ujenzi uanze, Leo kasaini tena na mturuki kuanza ujenzi lakini upande wa Kenya hawajapata hata mkandarasi wa kuanza ujenzi
Kwa hili tuwahurumie kunyan,namvyojua mu7 TZ tukitaka kuleta umafia mu7 asijenge hiyo reli tunawezaMiaka 10 Uganda aliingia mkataba na wachina kuanza ujenzi ila walikaa miaka Saba bila kuanza na sharti lilikiwa mpaka wakenya wafikishe malaba ndo ujenzi uanze, Leo kasaini tena na mturuki kuanza ujenzi lakini upande wa Kenya hawajapata hata mkandarasi wa kuanza ujenzi
Na Zimbabwe hamuachi lazima amgonge mimba nyingine akajifungue mapacha, saizi yanaomba Mungu na stars nao wafungwe jinsi yalivyo na roho mbaya, yenyewe ni non football country lkn yanataka kujilinganisha na football nation ๐น๐ฟ ๐น๐ฟ ๐ ๐ โค๏ธ โค๏ธ ๐ ๐Wanatakiwa atach zilizobaki washunde zote ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ Na Zimbabwe na Cameroon wabaki hivyo hivyo walivyo kwenye msimamo. It is almost impossible. Wamegongwa na wametolewa... Zimbabwe akimgonga tu kweisha habari yake ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ
View attachment 3125385
Hapa ukimfuata museveni aamue kupotosha tz ni madakika tu, basi tu sisi tumekuwa wastaarabu sanaKwa hili tuwahurumie kunyan,namvyojua mu7 TZ tukitaka kuleta umafia mu7 asijenge hiyo reli tunaweza