Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I wish ungeuliza CCM haya maswali kuhusu uswazi uliojaa Tanzania
tapatalk_1537063114848.jpg
downloadfile-105.jpg

Naikundu uzunguni unayoisemea ndio hii?
 
Mandela road EU walitoa heka kipindi cha Jakaya kuipanua iwe njia 6 hela ikakaa sana bila kutumika EU wakawapa deadline ya miezi 3 mpaka December wakati huo barabara isipojengwa watapangia matumizi mengine serikali ya Jakaya wakakurupuka wakampa mkandarasi chap chap kilichotokea ni kuongeza service road na kuweka surface mpya palipoharibika hela ikapigwa nilisikitika sana wakati huo.
Mimi nakwambia watu wengi huko serikalini hawawazi mbali....hawafanyi meditation..wengi wakubwa kiumri ( miaka 40, 50, 60)lakini hawatumii akili zao... wengine hawajui kwa nini waliumbwa.

Ok walipiga hela za mradi, wakaoa wakajenga majumba, wakalewa leo hii 10 years later pesa waliokula inawakula na wao tena vibaya...maana hata wao hio Barabara inawasumbua, watoto wao watateswa na hio Barabara nk
Hiv mtu unajisikiaje kuona uliiba pesa za mradi ambao umesababisha matatizo yanayokutesa wew na jamii nzima inayokuzunguka?

Ndo maana wazee wengi waliokuwa serikalini miaka hio...wakiwa wana miaka 70+ majuto ni mengi mno, pressure na sukari hazikauki kwa sababu ya uchafu waliofanya serikalini...

Watu wafanye meditation aisee. Wizi, ufisadi na mambo mengi yanaharibu maisha ya watu yanasumbua sana akili yako miaka ya mbeleni
 
We mzee ebu taratibu, EU na WB navyowajua wanafuatilia miradi yao wasingeweza kukubali huu upuuzi, alafu ile barabara ilijengwa zile njia nne na service road, tena ni barabara imara sana hadi leo ukipita pamoja na shughuli yake ilivyo nzito lakini hakuna mashimo wala kupinda over 20yrs now, labda kule bandarini ndio kumechochoka.
Sema nini
Kama wana mpango wa kujenga njia mbili tena kwa magari ya kawaida Mandela road bora waachane kwanza na BRT tu wasubiri kwanza wapate hela za kutosha wajenge 8 lanes. Tena bora wangejenga interchange au underpass pale buguruni na Tazara kwanza

Mandela road haina uhitaji sana wa BRT system watu wengi ukiondoa wafanyakazi wa godowns, na mitaa michache, commuters sio wengi kipande iko.

Watulie watafute pesa wajenge Barabara pana...au wawe wamejenga Barabara mpya kwa ajili ya maroli. Au maroli yachukulie mizigo somewhere huko kwala sio Dar port
 
Mimi nakwambia watu wengi huko serikalini hawawazi mbali....hawafanyi meditation..wengi wakubwa kiumri ( miaka 40, 50, 60)lakini hawatumii akili zao... wengine hawajui kwa nini waliumbwa.

Ok walipiga hela za mradi, wakaoa wakajenga majumba, wakalewa leo hii 10 years later pesa waliokula inawakula na wao tena vibaya...maana hata wao hio Barabara inawasumbua, watoto wao watateswa na hio Barabara nk
Hiv mtu unajisikiaje kuona uliiba pesa za mradi ambao umesababisha matatizo yanayokutesa wew na jamii nzima inayokuzunguka?

Ndo maana wazee wengi waliokuwa serikalini miaka hio...wakiwa wana miaka 70+ majuto ni mengi mno, pressure na sukari hazikauki kwa sababu ya uchafu waliofanya serikalini...

Watu wafanye meditation aisee. Wizi, ufisadi na mambo mengi yanaharibu maisha ya watu yanasumbua sana akili yako miaka ya mbeleni
Wizi ni hulka ya Mtanzania kuanzia aliyeko mtaani Hadi aliyeko Serikalini na wezi ndio wanaonekana wajanja.

Shida kubwa ni tuna jamii iliyojaa ubinafsi na akili finyu,Watanzania wengi hawajali Mali ya Umma Wala hawathamini.
 
Ivi Viongozi Akili zao kama zimeshindwa wapishe wenye uwezo
Napenda jinsi akili za watz zilivyo na exposure na elimu kubwa sana. Angalia comments za vijana kwenye hio post. Wanakoment huku wanatoa solution. Vijana wengi wako exposured nowadays sio kama zamani. CCM ibadilishe style ya uongozi kama wanataka kusurvive.

Kwa hizo comments inaonyesha watanzania vijana wadogo wana akili kubwa za kuiongoza Tanzania kuliko viongozi wa sasa.... comments zaidi ya 700 zote ziko against...Au ni sabotage ya kumharibia Mr kafulila? Wanamhusisha kwenye mambo kama hayo ya ajabu ili apoteze umaarufu wake wa kisiasa kwenye jamii...watu wasimuamini tena maana wana reference ya ujinga flani alioshiriki?
Nawaza tu.
 
***** guys angalia hiyo video ni ya Juzi tu hapa Oct 2 downtown walk. Kweli hilo ndilo jiji wanatuletea humu downtown kama soko la Tandale?


View: https://youtu.be/DkYrLlyd41o?si=sXh6At_mhc-BNlMY

Linganisha na hii vloggers wao anayetembea Dar


View: https://youtu.be/ZzWwaWwAjow?si=MeXSoe97P_NudFAt

Kuna battle hapa kweli?

Roads imejaa ISUZU za Nyundo.

Zile BASI GO na Electric zipo wapi? Za kuvizia, ila Dar Street BRT kuiona LAZIMA

Video nzma imejaa mafuso halaf wakija hpa wanaponda BRT๐Ÿšฎ
 
***** guys angalia hiyo video ni ya Juzi tu hapa Oct 2 downtown walk. Kweli hilo ndilo jiji wanatuletea humu downtown kama soko la Tandale?


View: https://youtu.be/DkYrLlyd41o?si=sXh6At_mhc-BNlMY

Linganisha na hii vloggers wao anayetembea Dar


View: https://youtu.be/ZzWwaWwAjow?si=MeXSoe97P_NudFAt

Kuna battle hapa kweli?

Roads imejaa ISUZU za Nyundo.

Zile BASI GO na Electric zipo wapi? Za kuvizia, ila Dar Street BRT kuiona LAZIMA

Hapo ndipo huwa wananishangaza, bus nzr hakuna kabisa Nairobi na bado wanapanua midomo kushindana na Dar.
 
tazama hata visibility ni mbingu na ardhi nairobi ni ndogo sana buda tena ndogo sana kwa dar chukua nairobi tatu na chenchi inabaki ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
So it's no longer about Dar nzima kuwa captured in one picture? Sasa imekuwa about visibility?
Excuses galore.

About ukubwa, sote tunajua Dar ni kubwa hata Kwa New York. Does that mean Dar is better than New York just because it's bigger?

Umubwa wa Dar tunajua ni uswazi kila Kona and then kuna sehemu kubwa sana ambayo ni vichaka na mashamba ya mihogo. Enda Nairobi kama utakuta hekari za mashamba na vichaka kama ilivyo Dar
 
So it's no longer about Dar nzima kuwa captured in one picture? Sasa imekuwa about visibility?
Excuses galore.

About ukubwa, sote tunajua Dar ni kubwa hata Kwa New York. Does that mean Dar is better than New York just because it's bigger?

Umubwa wa Dar tunajua ni uswazi kila Kona and then kuna sehemu kubwa sana ambayo ni vichaka na mashamba ya mihogo. Enda Nairobi kama utakuta hekari za mashamba na vichaka kama ilivyo Dar
Ukubwa wa Dar ni vichaka.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kuna vichaka na mashamba in Dar.? Mbona naskia hii kutoka kwako..?
 
Back
Top Bottom