Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KIA wangeacha ikawa International Flights tu, hapo pembeni tuna Arusha na Moshi Airports zote zimekuwa upgraded zinafaa kuhudumia domestic flights. Muhimu wapanue barabara yote ya Moshi Arusha to dual carriage ziwekwe Airport Limousines abiria wasafiri kwa haraka kuwahi flights. We need to prioritize our resources efficiently tuna mambo mengi bado ya kufanya.
Wazo zuri
 
Sema nini Siasa za Tanzania zinakwamisha mambo mengi sana.

Tungeacha professionalism iongoze sekta nyeti zote nchi hii kama infrastructures tungekuwa mbali sana...

Tulipata maendeleo sana kipindi cha Magu kwa sababu ni mtu aliyekuwa anawaza mbali na alikuwa ana exposure kubwa sana ya jinsi Tanzania inatakiwa iwe. Hata waliomzunguka wakina Mfugale, kijazi etc wote ni watu ambao Tungekuwa nao Miaka 10 wakenya wangekuwa wanakuja kushangaa mambo mengi sana hapa Tanzania kama ambavyo hawachoki kuja kutry SGR tu.

Siasa ndo zinafanya baadhi ya mambo muhimu kama infrastructures zifanyike kijuakali. Kama sasa hiv wanakimbiza kimbiza vitu ili 2025 wachaguliwe tena

Siasa ndo zinafanya Bodaboda na bajaji ziruhusiwe kupiga route za mjini...zamani waliondoa vipanya kisa vinabana mji ..sasa wameruhusu tena vibajaji

Nitawashangaa sana wakiijenga Mandela road kuwa 6 lanes tena wakati ni moja ya Barabara muhimu sana kwa uchumi wa nchi hii. Mimi binafsi sitawasamehe kama wakifanya makosa kwa Barabara hii.

Kungekuwa na watu wenye kuwaza mbali kule Kibaha...wangeongeza hata km 30 kufika Mlandizi iwe 6 lanes. Kwa miaka hii mitatu toka 2021 wana uwezo wa kufanyw hivyo tena kwa pesa za ndani
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ Kwani maendeleo makubwa Kwa Sasa hayapo? Au yamerudi nyuma?

Unaongea kana kwamba Rais ndio Huwa anapanga Kila kitu wakati ni hao hao Wataalamu na wapo.

Kama Kuna uhitaji watafanya hivyo ila usilete mambo yasiyohusiana Kwa sababu tuu unawachukia waliopo ofisini.
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ Kwani maendeleo makubwa Kwa Sasa hayapo? Au yamerudi nyuma?

Unaongea kana kwamba Rais ndio Huwa anapanga Kila kitu wakati ni hao hao Wataalamu na wapo.

Kama Kuna uhitaji watafanya hivyo ila usilete mambo yasiyohusiana Kwa sababu tuu unawachukia waliopo ofisini.
elewa point aliyoongea kwanza sio unakurupuka msikilize vzr maelezo yake alaf jibu kwa hoja, huwez jenga four lanes njia ya airport kwa ajili private cars alaf after 3 yrs gari zimeongezeka ubomoe tena chember za maji na taa za barabarani ueke tena barabara nyingine, tunafaa kufikiria 20yrs sio 2 yrs
 
elewa point aliyoongea kwanza sio unakurupuka msikilize vzr maelezo yake alaf jibu kwa hoja, huwez jenga four lanes njia ya airport kwa ajili private cars alaf after 3 yrs gari zimeongezeka ubomoe tena chember za maji na taa za barabarani ueke tena barabara nyingine, tunafaa kufikiria 20yrs sio 2 yrs
Kwanza sijabisha hiyo hoja yake nilichokataa nimkusema kwamba eti saizi siasa zinaharibu na blaa blaa zingine za kijinga.

Nimemaliza Kwa kusema kama Kuna uhitaji itafanyika hivyo maana wanaofanya hayo ni wataalamu na wapo na sio Rais.

Wewe ndio umekurupuka bila kuelewa maelezo yangu.

Tunajenga hoja Kwa misingi ya chuki zako.
 
Kwanza sijabisha hiyo hoja yake nilichokataa nimkusema kwamba eti saizi siasa zinaharibu na blaa blaa zingine za kijinga.

Nimemaliza Kwa kusema kama Kuna uhitaji itafanyika hivyo maana wanaofanya hayo ni wataalamu na wapo na sio Rais.

Wewe ndio umekurupuka bila kuelewa maelezo yangu.

Tunajenga hoja Kwa misingi ya chuki zako.
lawama number moja ya nchi ni lazma iende kwa kiongozi wa juu, hatuwez kua tunajenga barabara ya mabilioni ya pesa alaf after 3 yrs tunavunja tunajenga upya kisa watu wamekaa wanaweka mitego ya kula pesa haiwezekani kaka, tazama tu foleni ilioko sasa hvi dar kipindi cha ujenzi je miaka mitatu ijayo wakat tunabomoa barabara tena hio foleni itakua ya aina gani??? nchi ni lazma tufikiri miaka 10 mpaka 20 mbele

tusikimbilie kujenga BRT kila sehem kama hatuna uwezo wakueka flyovers na interchanges, ni heri hio pesa tujenge awamu moja moja ila ziwepo interchanges na overpass za kutosha ili private cars zi flow haraka na BRT iende haraka pia

sio tunajenga BRT phase imekamilika alaf tunafikiria kubomoa kujenga flyover na overpass tena
 
Sasa hii si wangeplan zamani ikaenda sambamba na BRT 4 kama walivyofanya Kilwa Rd na Changโ€™ombe? So wanamaliza kujenga BRT alafu wanavunja tena kuongeza flyover? ๐Ÿคท๐Ÿพโ€โ™‚๏ธ
na mm hapo ndipo nachoka kabisa yqni tunakuja kufkiria jambo muhimu wakat muda ushakwenda sana
 
Sema nini Siasa za Tanzania zinakwamisha mambo mengi sana.

Tungeacha professionalism iongoze sekta nyeti zote nchi hii kama infrastructures tungekuwa mbali sana...

Tulipata maendeleo sana kipindi cha Magu kwa sababu ni mtu aliyekuwa anawaza mbali na alikuwa ana exposure kubwa sana ya jinsi Tanzania inatakiwa iwe. Hata waliomzunguka wakina Mfugale, kijazi etc wote ni watu ambao Tungekuwa nao Miaka 10 wakenya wangekuwa wanakuja kushangaa mambo mengi sana hapa Tanzania kama ambavyo hawachoki kuja kutry SGR tu.

Siasa ndo zinafanya baadhi ya mambo muhimu kama infrastructures zifanyike kijuakali. Kama sasa hiv wanakimbiza kimbiza vitu ili 2025 wachaguliwe tena

Siasa ndo zinafanya Bodaboda na bajaji ziruhusiwe kupiga route za mjini...zamani waliondoa vipanya kisa vinabana mji ..sasa wameruhusu tena vibajaji

Nitawashangaa sana wakiijenga Mandela road kuwa 6 lanes tena wakati ni moja ya Barabara muhimu sana kwa uchumi wa nchi hii. Mimi binafsi sitawasamehe kama wakifanya makosa kwa Barabara hii.

Kungekuwa na watu wenye kuwaza mbali kule Kibaha...wangeongeza hata km 30 kufika Mlandizi iwe 6 lanes. Kwa miaka hii mitatu toka 2021 wana uwezo wa kufanyw hivyo tena kwa pesa za ndani
Mandela road EU walitoa heka kipindi cha Jakaya kuipanua iwe njia 6 hela ikakaa sana bila kutumika EU wakawapa deadline ya miezi 3 mpaka December wakati huo barabara isipojengwa watapangia matumizi mengine serikali ya Jakaya wakakurupuka wakampa mkandarasi chap chap kilichotokea ni kuongeza service road na kuweka surface mpya palipoharibika hela ikapigwa nilisikitika sana wakati huo.
 
Mandela road EU walitoa heka kipindi cha Jakaya kuipanua iwe njia 6 hela ikakaa sana bila kutumika EU wakawapa deadline ya miezi 3 mpaka December wakati huo barabara isipojengwa watapangia matumizi mengine serikali ya Jakaya wakakurupuka wakampa mkandarasi chap chap kilichotokea ni kuongeza service road na kuweka surface mpya palipoharibika hela ikapigwa nilisikitika sana wakati huo.
Rushwa ni adui wa haki
 
Back
Top Bottom