GANJIBHAAI
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 724
- 1,883
View: https://youtu.be/pRU6w6gJmfw?si=IRXFDn-4N2ta_45A
Waambieni Wakenya haya wanayoyaona kwenye Video hii yanafanyika kwa majirani zao Tanzania na hii ni project moja tu
tazama hata visibility ni mbingu na ardhi nairobi ni ndogo sana buda tena ndogo sana kwa dar chukua nairobi tatu na chenchi inabaki 😂😂😂😂😂Unataka kusema umekuwa kipofu? Kwamba huoni Posta kwenye hiyo picha niliyopost?
Kisumu airport, better than hile Arusha Mabati mill by far.
View attachment 3109812
View attachment 3109814
kama ya kawaida tuoneshe baiskeli unayomiliki wewe 😂😂😂😂We unakuanga mshamba sana, Cadillac Escalade ni gari ya kawaida tu na hata sio hio bei. President anatumia Cadillac One aka 'The Beast'. Punguza ushamba we fala. 🤣 🤣 🤣 Eti usiwaambie. Hatutaki kuambukizwa ushamba. 🤣🤣