The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Huko Tanroad nahisi kumejaa wazee wenye mawazo ya 90s, pale Tazara ilipaswa waweke underpass ili kuepuka changamoto zitakazotokea pale kwenye flyover ambazo zingeweza kutatuliwa mapema kama tungekuwa na watu wenye vision ya kweli.Sasa Tanroad wangekuwa wanawaza mbali, Mandela road wangeipanua yote kuwa njia nane na yenyew kwa wingi ule maroli wakija kujenga BRT 5