chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,688
- 45,950
Tena kila jimbosio miaka mitano tu kiwe na wanachama hai zaidi ya 100 wenye akili timamu 😂😂😂
Tena kila jimbosio miaka mitano tu kiwe na wanachama hai zaidi ya 100 wenye akili timamu 😂😂😂
Haya, niambie hiyo barabara ni class gani? Yves kapitia hii barabara hapa kutoka Kigoma hadi Mpanda na ilikuwa vumbi tupu. Barabara Class B - Yani National Trunk Road. Wewe mjuaji niambie hiyo barabara ya Kenya unayoiponda ni class gani?Wewe huna akili, Yves kapita kwenye pori na national parks mpaka akavaa net zaidi ya wiki hakuna makazi kabisa analala kwenye tents na barabara yote ipo under construction, af unaongea kitu gani hapa?
Hamna makazi haya ni nini? View attachment 3113426
Ni kweli barabara za kenya ni mbovu kulinganisha na Tanzania na nyingi hazina markings, drainage na sidewalksView attachment 3113407
uchumi mkubwa . KAJIADO
Kundustan Barabara zipo Nairobi tu. Kwingine ni uchafu. Tembea kijana, acha kujificha kiberaHaya, niambie hiyo barabara ni class gani? Yves kapitia hii barabara hapa kutoka Kigoma hadi Mpanda na ilikuwa vumbi tupu. Barabara Class B - Yani National Trunk Road. Wewe mjuaji niambie hiyo barabara ya Kenya unayoiponda ni class gani?
View attachment 3113438
Hata hizo za Nairobi nyingi ni za Zamani sana za enzi ya Moi na Kibaki na hazina drainage wala sidewalks kama za Dar na ndiyo maana mvua kidogo ikinyesha Nairobi ni bahari. Dar hizi BRT zimekuja na closed drainage na very beautiful walkways. Tumewaacha mbali sanaaaaa.Kundustan Barabara zipo Nairobi tu. Kwingine ni uchafu. Tembea kijana, acha kujificha kibera
Ni kweli barabara za kenya ni mbovu kulinganisha na Tanzania na nyingi hazina markings, drainage na sidewalks
This is clearly a SADC Country. Most likely Tanzania. The middle line on Kenyan roads is yellow, not white and no Kenyan hind number plate has a white background. Mmejipiga own goal.View attachment 3113407
uchumi mkubwa . KAJIADO
Hakuna mtu kununa hapa. Lazima kaziiendelee
EACOP Mambo yameanza kuwaka moto. Kundudwellers na kelele zenu za kwenye social media kama Mbwa Koko, Kiko wapi?
View attachment 3112020
Siku hizi unapiga domo sana 😀 😀 😀 Tangu nairaland.com wakutengue ugoko akili zako zimehamia tumboni.This is clearly a SADC Country. Most likely Tanzania. The middle line on Kenyan roads is yellow, not white and no Kenyan hind number plate has a white background. Mmejipiga own goal.
Which World are you talking about? 😀 😀 😀 tembea kijana acha kujifungia kibera.World Class
![]()
Tangu niwaumbue hamjatembea nchi yenu sasa utashinda ukiniambia niache kujifunga. Naona ilikuuma kwelikweli. Unayemwambia atembee ukichukua mwezi mmoja tu kwa maisha yake utapata aliutembea kuliko ulivyotembea maisha yako yote. 😂 😂Which World are you talking about? 😀 😀 😀 tembea kijana acha kujifungia kibera.
Infrastructure kama hizi huezipata Vumbistan. Kenya is the only country in East Africa with a flyover made of Steel.World Class
![]()
Usicheze na huyo jamaa, huyo ametembea kwa matacore ya wanaume wengi sana😂😂😂Tangu niwaumbue hamjatembea nchi yenu sasa utashinda ukiniambia niache kujifunga. Naona ilikuuma kwelikweli. Unayemwambia atembee ukichukua mwezi mmoja tu kwa maisha yake utapata aliutembea kuliko ulivyotembea maisha yako yote. 😂 😂
Sisi hatuongei sana. Unajibiwa na wakenya wenzio.Tangu niwaumbue hamjatembea nchi yenu sasa utashinda ukiniambia niache kujifunga. Naona ilikuuma kwelikweli. Unayemwambia atembee ukichukua mwezi mmoja tu kwa maisha yake utapata aliutembea kuliko ulivyotembea maisha yako yote. 😂 😂
Kundudweller katika ubora wako. 😀 😀 😀 Tuambie ni lini unatibu ulemavu wa mikono yako?Infrastructure kama hizi huezipata Vumbistan. Kenya is the only country in East Africa with a flyover made of Steel.