Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya mambo yanawafanya wakenya wakonde (Dodoma kama Dodoma)

1727776517562.png


1727776540680.png
 
BATTLE RECAP

2017 Tuanaanza Wakenya walikua wanachukulia kila Mradi ni White elephants ikiwa
kisa tunajenga World Class infrastructure

Kigamboni Bridge
Salender
Kigogo Busis Bridges
Wami Bridges

Wakati tunaweka Render walikua wanatuwekea mombasa brigdes kama kawaida ikisindikizwa na adjectives
1727781751203.png


Ila Kigamboni Bridge imekamilika, Salenda (Tanzanite bridge) imekamilika kigogo Busisi ipo 90% ila Mombasa Bridge hakuna kitu.

SGR yao ilianza unguruma tukaanza kuambiwa tulete 1km mara ipo porini however as we speak yao imeishia porini yetu ipo very promising na Km za ujenzi zimeizidi functioning SGR yao. Electrified world class

1727782112267.png


Viwanja vya Ndege tulikua navyo vibovu hadi picha hazitamaniki ila Now asee mpaka tunaletewa picha ya ufunguzi wa viwanja vyao kisa kuogopa kuweka picha inayoonesha Tractors iko kazini

Before
1727782226216.png


Now

1727782275861.png


Umeme ulikua unasumbua mpaka tulikua tunaitwa nchi ya Giza, ila Baada ya Kujenga Kinyerezi gas generated plants na Baba lao


View: https://youtu.be/pRU6w6gJmfw?si=b4rqUzdzg8JNpy2A

Now tunasikiliza kwa Jirani na KPLC, KETRACO wanavyoingiza Airport Giza na Blackouts Counties

Tulikua tunaletewa sijui Konza Technopolis, Tatu City, Enzi za Kibaki, lakini Ndani ya miaka mitatu tumesimamisha Magufuli government city kuipa Dodoma hadhi kubwa skyline unaiona

1727782803455.png


Iconic Station

1727782881667.png



Sekta ya Usafirishaji wa umma now hatukamatiki

1727782997336.png

1727783083393.png


Ni vingi na vingine vimeendelea na yote Imefanyika ndani ya Kipindi cha Miaka saba (Miracle) indeed

Ndani ya Hicho kipindi cha Miaka saba total Project Values

1. Energy: JNHPP $6 Billion, Shinyanga Solar Energy $115m, Substations over $100m
2. SGR $30 Billion Mpaka ifike Burundi ($5billion) Mpaka ilipokamilika Dar - Dodoma (Ujenzi na Trains)
3. Airports: (Msalato $329.47m) na vinginevyo inafika $1b
4. Kuimarisha Elimu (Boost (primary school) $500m, Secondary school (SEQUIP $500m), Elimu Bure hadi Sekondary
5. Irrigation scheme over $100m
4. Tourism $3.5b revenue
5. BRT nimechoka kuelezea

List inaendelea miaka hiyo yote over $50bill zimetumika ambazo damn nimesahau ufufuaji wa kubwa lao
1727784698219.png


yaani over $50bil ambazo ni 80% ya GDP zimetumika. Imagine 80% na bado tunakopesheka GDP surplus kubwa kuliko mwenye $115bil full stalled projects, madeni ameyakusanya ndani ya kipindi cha miaka 7 mpaka GDP surplus imepotea.

Hapo unaona nani ndani ya miaka 7 amepiga hatua nani anarudi kinyume nyume. siku hizi wanatukana sana na kuleta picha za uzinduzi wa vitu.
 
Back
Top Bottom