Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ally Star kapelekwa Master Fabricator. Expect a new face soon from Master.

Ally Star wamechoka na mikebe ya Mchina anataka vitu original and durable kutoka kwa Master Fabricator😂😂

1727554580090.jpeg

1727554598426.jpeg
 
athi river

kwikwi kitu cha kujua huyo hawezzi nunua hapo we unadhani tz mtu anapanda ili mradi gari
Basi ni nini imempleka kwa Master? Remember hivo ndio mlisema ati investors wa Tanzania can’t buy Marcopolo from from Kenya. Now wanang’ang’ania zile zenye ziko AVA😂😂🤣😂
 
Basi ni nini imempleka kwa Master? Remember hivo ndio mlisema ati investors wa Tanzania can’t buy Marcopolo from from Kenya. Now wanang’ang’ania zile zenye ziko AVA😂😂🤣😂
yaan kwa akili yako unadhni ally anaweza leta gari hapo kwa ajili ya matengenezo, si bora akalitupe polini,
 
hata km 10000 hawjafika bado 😂😂😂
kitu wanaweza hawa kujisifia uongo na data za uongo na kweli
Eti walikuwa wanajipa moyo kabisa wanaizidi Tz kwa km of paved roads, thubutuuu! Linchi likubwa kama hili ambapo kanchi kao kanaingia zaidi ya mara mbili alafu mikoa yote imeunganishwa kwa lami na bado eti wawe mbele yetu, kama tutasema lami ya kutoka kigoma mpaka Dar tuiweke Kenya basi hakuna county itakosa lami Kenya.
 
Back
Top Bottom