Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

polisi tanzania wana kila aina ya magari mpaka range rover zipo 😂😂😂😂

kila aina ya magari unayojua ww duniani basi polisi tanzania wanayo, je kwenu??
Kitu najua Kenya Police haijawai nunua Probox kwa pesa zake, zote hua donations tu. 🤣 🤣 🤣 Nisiwai kuona uki slander probox tena na polisi wenu wanazitumia. 🤣🤣🤣
 
Hapa Bongolala polisi wanatumia probox. Alafu utasikia Wakenya wanapenda probox.🤣🤣View attachment 3111136
Polisi Tanzania huwa na magari yao special ukiona wanatumia probox ana gari nyingine zaidi ya model zinazotumila ujue ni gari zilizotaifishwa na serikali na kugaiwa department za serikali ikiwamo polisi.
 
Sio gari rasmi ya police, Wengine huwa wana hadi Toyota Noah. Hizi huwa wanapewa tu na serikali baada ya wamiliki kushindwa kuzilipia au zilifanyiwa magendo zikataifishwa.
Gari hadi ikona number plate ya polisi, lakini agenda must agenda just because hampendi probox. 🤣 🤣
 
Wewe kumbe huna akili. Police wakipewa si wanaenda kuweka sticker zao au ulifikiri hio imekuja na sticker kutoka Jp?
Wakipewa na serikali sio private individuals au NGO. Hio haina tofauti na serikali kutoa pesa na kuwanunulia hizo gari. 🤣 🤣 🤣
 

Attachments

  • 2025-cadillac-escalade-101-6696b2a136336.jpg
    2025-cadillac-escalade-101-6696b2a136336.jpg
    74.5 KB · Views: 12
Back
Top Bottom