Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 1,503
- 3,817
Shabana Fc fans in Kisii.
Wamenishangaza sana aisee.Dhahabu ya hivyo haikamatishwi kwa mercury, ni mzigo ambao mtu amesaga miamba ya dhahabu kwa miaka Karibu miwili, amepeleka rudio kwenye leaching pits ambako anatumia tones za kutosha za Activated Carbon, Cyanide pipa za kutosha, Lead , Causic Soda , na Chokaa tones za kutosha,
Kisha anaenda Elution Plant kuchoma. Ni kuprocess very expensive. Na hizi zote ni under locals 100%
Baada ya hapo mtu anachoma.
Ukienda pale Chunya mjini kuna Elution plants za kutosha na zote ni za Locals , zote ziko busy hatari wachimbaji wadogo wanapiga kilo kilo za dhahabu kila siku , Elution Moja inaweza choma hata kilo 10-15 kwa siku, watu wanapiga sana hela ya dhahabu japo pia msoto wake mashimoni sio haba.
Wachana na hawa wakunya ignorants all they know ni kuishi kwenye vyumba vya kupanga na kununua vigari vya mwaka 2005 na kuzungumza kingereza kibovu. They know nothing about Tanzania.
Una hasira kijana. Relax.You know nothing Mate ,
Hiyo mwamba unaona âmepiga hiyo dhahabu wala usizani ni fukara kama wewe. Without that Gold he has been well-off than your entire clan,
For your info, kwa kuangalia nature of those gold bars it means they came from Leaching pits , then to the Elution plant,
Meaning that the guy spent a year or two to get such quantity of gold ore ,
And do you think how deep beneath the land surface he has to excavate to get into the rocks with such promising gold sample?
As a well knowledgeable, I teach you for free.
That guy has machinery, leaching pits and resources. Small mining scale unadhani ni mtu anaenda kuchimba na jembe ? Haki ukunya ni laana. Very small minded people.
By the way there are lots of such guys who breaks even , huyo ni mmoja mmemwona ila there are hundreds of them only in Chunya. Not to mention countless of Gold mining areas from the rest of TZ. Ndio maana huwa nawashangaa Mkijaga na vitakwimu vya Kunya vya dollar milionaires vilivyojaa wahindi na wazungu with few locals from ruling class .
Ni ya Vumbistan?AVA is not a Kenyan Company you dimwit, unatupigia kelele humu.
Lazima, unaongea as if kupata dhahabu ni sawa na kuiba pesa za mkopo toka china the way William Ruto is looting .Una hasira kijana. Relax.
A company being registered in Kenya doesn’t mean it is a Kenyan company, mbona wakunya hamna akili ?Ni ya Vumbistan?
Owned by the Communist Republic of China.
So how many Tanzanians stumble across 8M USD worth of minerals?
Where is you $8M.
You're an idiot. This is like using a jackpot winner to claim your country has rich people.
You're speaking of corruption as if you are any better. You have 4 times our resources yet you have a smaller GDP, lower wages, smaller middle class and you still believe you are not corrupt?
Just because you're too uneducated and too cowardly to speak against your government's evils like us you beliewve you are better? Like I told you, you have not travelled that's why you speak this nonsense.
The average Tanzanian is dirt and poor. You are dirt and poor that's why you haven't travelled. With all your resources you still trail behind Kenya in most economic indicators. Here is real success from a functional country. Not the luck you're boasting about that happens more in failed countries like DRC. This young man started a tech company in Kenya and he's doing well. This is real progress.
View: https://www.youtube.com/watch?v=EFgebo4tk-k
Bro, why are your comments filled with anger? 🤣 🤣 🤣Lazima, unaongea as if kupata dhahabu ni sawa na kuiba pesa za mkopo toka china the way William Ruto is looting .
Is it a Vumbistan company? 🤣 🤣 🤣A company being registered in Kenya doesn’t mean it is a Kenyan company, mbona wakunya hamna akili ?