Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aisee, ni juzi tuu Makonda alikuwa pale akilalamika wakati jengo halijakamilika, leo kila kitu poa. Nikikumbuka kile kibanda cha zamani, kwenye jiji la utalii, ilikuwa aibu sana.

Ila hayo ma AC unit kwanini wasiyafiche juu ya dari, yanaharibu uzuri wa jengo hapo mbele.
Hatari
 
Highway za USA hazina BRT

Only foolish Tanzanians wants Kenyan highway to have BRT😂😂
Hayo mabarabara mijini yamepitwa na wakati, ni lobbying tuu ya the big three (GM, Ford, Chrysler) ndo inafanya yaendelee kuwepo.

Siku hizi hata mijini barabara zinapunguzwa lanes ili kuweka 'bike lanes' na wamejaza electric scooter watu watumie ili kupungunza idadi ya magari. Muombe ndugu yako mwaiofhawaii akuelimishe ili utoe ushamba.
 
Kimsingi interior design ya Arusha airport is better and beautiful than your number 2 best international airport. And guess what Arusha airport ni uwanja wa ndege ndogo za ndani tu. 😂😂
Kimsingi Arusha airport inafanana kibanda ya mkahawa, tena hile ya mabati. Outside it looks like a godown.
 
but nahisi kuna nafas kubwa ya kufanya extension upande wa kulia nafas ipo ya kutosha
Nafasi ipo ni kubwa lakini angalau lingetumika maninum miaka 15 ndio tufikirie extension, waliodisign tukubali walitumia akili ndogo sana, sababu tunategemea kila mwaka kuwa na ongezeko la angalau watalii 300k kwa idadi hii ya sasa tu watalii million 2 tayari limeonesha ufinyu mkubwa.

Ikumbukwe flights nyingi ni za watalii kuelekea national parks na Zanzibar, hatujaweka wa kaazi wa arusha kuelekea mikoa mingine na wa mikoani kuja arusha ambao nao idadi yao inaongezeka kila leo
 
Hayo mabarabara mijini yamepitwa na wakati, ni lobbing tuu ya the big three (GM, Ford, Chrysler) ndo inafanya yaendelee kuwepo.

Siku hizi hata mijini barabara zinapunguzwa lanes ili kuweka 'bike lanes' na wamejaza electric scooter watu watumie ili kupungunza magari. Muombe ndugu yako mwaiofhawaii akuelimishe ili utoe ushamba.
Naongelea highway na wewe unaongelea town roads, can’t you are discussing something far different from what I’m talking about?
 
This is a mabati kibanda.
Kama ulaya tu, issue ni kwamba hamna kama hii

images (27).jpeg
images (26).jpeg
 
Aisee, ni juzi tuu Makonda alikuwa pale akilalamika wakati jengo halijakamilika, leo kila kitu poa. Nikikumbuka kile kibanda cha zamani, kwenye jiji la utalii, ilikuwa aibu sana.

Ila hayo ma AC unit kwanini wasiyafiche juu ya dari, yanaharibu uzuri wa jengo hapo mbele.
Kwa jengo latest kama hili kuweka huu uchafu ni aibu kwa TAA kiukweli, hapa wamejidhalilisha

Screenshot_20240928-150524.jpg
Screenshot_20240928-150443.jpg
 
and

are you aware kwamba uganda ana dry port kwala na tanga kwa ajili ya kusafirisha mizigo kwenda uganda.
kuhusu sgr kwenda kampala are you aware kwamba mpaka kenya haijapata finance ya kumalizia kipande mpaka malaba.
je wajua kwamba sgr isaka mwanza iko asilimia 67 kumalizika na washaanza kutundika nyaya za umeme?
je wajua kuwa tanzania ishamaliza kufanya feasibility study kufikisha reli ngeza ili iweze kwenda rwanda and another part ya uganda port wakati kenya bado hata uhakika wa kupata loan bado?
are you aware kuwa pale mwanza kuna meli zinajengwa kwa ajili kusafirisha mzigo kwenda entebe na mara sgr itakapokuwa imekamilika mwaka 2027 oparesheni zitaanza rasmi.
je wajua kuwa sgr kenya kufikisha mzigo contena 40ft ni zaidi ya usd 2700 wakati kutoka dar mpaka mwanza usd 1200 zaidi ya km 1200 na kutoka mwanza tu entebe haitafika usd 1000
je wajua pamoja na yote na hata kenya ifanyeje cost ya kuendeshe treni zenu hata zikiwa za umeme itakuwa twice the amount ya gharama ya umeme unaozalishwa tanzania.
Kaka wakenya ni njaa Tu, kigamboni kunajengwa Matenk ya kuifazi Mafuta Mengi ili SASA badala ya kuorder Mafuta nchi za uarabuni watakuwa wakiorder kutoka Dar, Dar inajengwa gate ya meli kubwa za Mafuta, zikifika Tu zinashusha kwenye matenki hii itapunguza bei ya mafuta Kwa watumiaji waagizaji na pia kupunguza muda ya kuagiza Mafuta.
 
Kaka wakenya ni njaa Tu, kigamboni kunajengwa Matenk ya kuifazi Mafuta Mengi ili SASA badala ya kuorder Mafuta nchi za uarabuni watakuwa wakiorder kutoka Dar, Dar inajengwa gate ya meli kubwa za Mafuta, zikifika Tu zinashusha kwenye matenki hii itapunguza bei ya mafuta Kwa watumiaji waagizaji na pia kupunguza muda ya kuagiza Mafuta.
Mnafanya vitu Kenya ilishafanya kitambo sana😂😂😂
 
Back
Top Bottom