Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usiogepe nitakuwekea tu usijari
1. Stergomena Lawrence Tax (Executive Secretary of SADC)
2. Jakaya mrisho kikwete (UN Inter Agency Report for child mortality estimates)
3. Prof Sospeter Muhongo (Vice-President for Commission of the Geological Map of the World)

Hao wachache tu. Leta porojo zingine.
wawalete viongozi wao...tuwaone....maana wanajifanya! wapo educated ndiyo maana kwenye nyazifa zakimataifa hawapo ni wakuwaokota kwasababu wanajulikana kama hawana kitu zaidi ya bra bra kujifanya wanaijua English kuliko wote
 
Ushawahi waona wanafunzi wangapi wa Kenya wakizisomea shule zenu za msingi, za upili na pia chuo kikuu? Na ni watanzania wangapi waliopo Kenya for KENYAN education??.
Sasa ukiwa kenya si unaona watz wakisoma!!!.utawezake kuona wakenya wakisoma tz wakati uko kenya???

Wapo wengi msee tena mpaka chuo kikuu.

Hoja zimeisha vimeanza vituko.pombe haikufai buda.
 
wawalete viongozi wao...tuwaone....maana wanajifanya! wapo educated ndiyo maana kwenye nyazifa zakimataifa hawapo ni wakuwaokota kwasababu wanajulikana kama hawana kitu zaidi ya bra bra kujifanya wanaijua English kuliko wote
Tuko tunasubiri kuwaona wakitajwa.
 
mbina wanasiasa, they can get away with anything. niletee wasio wanasiasa
si wote wanasiasa...hats hivyo mashirika ya umoja Wa mataifa huwa yanachukua viongozi wenye uzoefu na watendaji bora wanaoonekana kijamii haijalishi awe mwanasiasa ama yeyote kikubwa watu ambao wapo serikalini kwa asilimia kubwa ndiyo huchukuliwa

acha ushamba
 
15-31-32-WvG4dhY.jpg
 
Unatokwa na mapovu sana. This is Tanzania usifanye mchezo. Nikianza kukupatia marais waliopita mikononi mwa Tanzania utaduwaa. Acha kulia lia. Tanzania hapo level moja na Kenya nyie pigeni kelele tu.
3. Prof Sospeter Muhongo (Vice-President for Commission of the Geological Map of the World)

Leta wasomi watano wakenya waliofanya kazi UN au wanofanya sasa mimi nitakupatia kumi.
utasikia ooh....Kenya tunawasomi ooh Mara elimu yao bora.....

kama mpo bora mbona hatuwaoni Kenya kiukweli vyuo vyao wanaproduce washona Nguo na mabeki tatu.......ndiyo maana njaa ikiwazidi wanapambana na marathon mbio za nyika
 
Ushawahi waona wanafunzi wangapi wa Kenya wakizisomea shule zenu za msingi, za upili na pia chuo kikuu? Na ni watanzania wangapi waliopo Kenya for KENYAN education??.
ha haa kuna mataila watano wakikenya ndugu zenu niliwahi soma na primary kitambo hicho aisee walikuwa ni Vilaza sana walipomaliza primary ikabidi warudishwe huko kwenu kwenye easy education inayoproduce maproffesor uchwala wenye proffrsional ya kusuka mikeka ya kupumzikia na proffesional ya kukimbia.....

kiukweli elimu ya tz hamuiwezi mshazoea soft education ndiyo maana hata kuja kusoma kwa wingi mnaogopa....

elimu ya tz tunaiweza wenyewe Inabidi uwe smart sana ndiyo uiweze.....ndiyo maana tunaproduce vichwa smart kisawasawa nyie endeleeni kuproduce English speaker tena wenye rafuzi mbaya
 
Back
Top Bottom