ha haa kuna mataila watano wakikenya ndugu zenu niliwahi soma na primary kitambo hicho aisee walikuwa ni Vilaza sana walipomaliza primary ikabidi warudishwe huko kwenu kwenye easy education inayoproduce maproffesor uchwala wenye proffrsional ya kusuka mikeka ya kupumzikia na proffesional ya kukimbia.....
kiukweli elimu ya tz hamuiwezi mshazoea soft education ndiyo maana hata kuja kusoma kwa wingi mnaogopa....
elimu ya tz tunaiweza wenyewe Inabidi uwe smart sana ndiyo uiweze.....ndiyo maana tunaproduce vichwa smart kisawasawa nyie endeleeni kuproduce English speaker tena wenye rafuzi mbaya