Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

<br />utasikia ooh....Kenya tunawasomi ooh Mara elimu yao bora.....<br /><br />kama mpo bora mbona hatuwaoni Kenya kiukweli vyuo vyao wanaproduce washona Nguo na mabeki tatu.......ndiyo maana njaa ikiwazidi wanapambana na marathon mbio za nyika
Nyie sisi tuwaoni....mkiproduce whatever[emoji12] note NYie famous eastern africa.pekee world achia wakenya[/QUOTE]
ha haaa famous wakukimbia kimbia ovyo mbio za kupokezana vijiti au kwa uzamiaji.....

hamna jipya kunywa maji ngozi yako itakate hiyo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
ndiyo hatuijui na hatuna time....yakuijua

Ila mbona humu mnaileta English wakati mkijua kabisa majirani zenu hawaijui hiyo language....

kweli nyie vilaza yaani mnaongea na vipofu kwa vitendo sijui nani mwenye akili hapo....

hizo ni akili za usiku
Ndio maana diamond akihojiwa churchil show na english anaimba halleluya[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji106]
 
question for kenyans:
in the history of kenya,how many wars kenyan army(KDF)fought alone and won?.

(leave alone the endless war with alshabab in somali,kdf hasn't won a thing yet).

waiting for answers....sihitaji povu...ila kama hauna jibu,basi ruksa kutoa povu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Which war did tanzania won? Wewe unajua kwenye vita hakuna mshindi wala aliyeshindwa
 
Nyie sisi tuwaoni....mkiproduce whatever[emoji12] note NYie famous eastern africa.pekee world achia wakenya
ha haaa famous wakukimbia kimbia ovyo mbio za kupokezana vijiti au kwa uzamiaji.....

hamna jipya kunywa maji ngozi yako itakate hiyo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12][/QUOTE]
Nyie mnaeza kimbia ama nikuuza dagaa mtauza.[emoji106] [emoji14]
 
ha haaa famous wakukimbia kimbia ovyo mbio za kupokezana vijiti au kwa uzamiaji.....

hamna jipya kunywa maji ngozi yako itakate hiyo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Nyie mnaeza kimbia ama nikuuza dagaa mtauza.[emoji106] [emoji14][/QUOTE]
Siyo kuuza dagaa peke yake hata hiyo siasa yenu pamoja na viongozi wenu wote tunaweza kuiuza na kuwauza
 
Which war did tanzania won? Wewe unajua kwenye vita hakuna mshindi wala aliyeshindwa
Wewe unafkiri rwanda, burundi, uganda,south africa, mozambique na malawi wangepata amani bila tanzania kasome history vzr😀😀😀😀
 
this post is for kenyans only:

while you are bragging about your universities over petty issues of beautiful buildings and blablabla,here is a short list of international (non tanzanians) famous alumni of university of dar es salaam who thereafter held/hold powerful positions in their countries including head of state.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
23d309517f25789a4b199faec472720c.jpg
2edf8a82fe30342b3961a07b63b3ab49.jpg
3d1225d196250e2888edebde91036f2c.jpg
4bc0b0d954091efecd7ec052f8f1aa51.jpg
a7c351f0f25cdde05a2e87b5da712b0e.jpg
56d5650f3683493d8f34a353d75a6346.jpg
b486bd0f9b3eff3374f5dcf8d4a7b9ee.jpg
31fef15ecca9cfb34731cede866292fa.jpg


so i challenge all kenyans to show us any international (non kenyan) alumni from universities of kenya,who became the head of state or a CEO in his/her country.

update:
7495277e78e482b0086fd3e43158ae46.jpg
7770be22e8d736da9328c354b9427373.jpg
24c74ce23febd40222a12bb53d037bf9.jpg


nasubiri majibu sihitaji povu...ila kama huna majibu,basi ruksa kutoa povu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wewe unafkiri rwanda, burundi, uganda,south africa, mozambique na malawi wangepata amani bila tanzania kasome history vzr😀😀😀😀
hawajui hao.....wanajua NAIROBI CBD history.......pekee ndicho wanachokifahamu
 
Back
Top Bottom