Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe Jana mmewapiga nje ndani bila hata huruma unahisi wataonekana humu
Alafu wakenya hawanaga moyo wa uvumilivu, wakiumia unajua kabisa aisee, sasa mtu unajiuliza wanaumia nn? Kwamba hawajui kuhusu huu mpira wa miguu tumewaacha mbali sana ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ
 
Wana chungulia kwa mbali non NATO ally wewe unadhania vitasa vinavyotembea ni vya mchezo inaonekana usiku wamepiga pasi ndefu wameamka wakitafakari siku inaendaje na itaishaje
Vipi hawa wakulungwa hawajarudi tuu bado au ndio wanachungulia na kutoka fasta ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Tutegemee comeback ya apartments na Talanta leo kwa wingi ๐Ÿ˜
 
Wana chungulia kwa mbali non NATO ally wewe unadhania vitasa vinavyotembea ni vya mchezo inaonekana usiku wamepiga pasi ndefu wameamka wakitafakari siku inaendaje na itaishaje
Viboko tulivyowacharaza jana si mchezo, inatakiwa hawa waondoke humu tubaki pekeetu kudadadeki, na kama vp tutawafuata huko huko kwao kwenye ki platform jua kali sijui kinaitwa JamiiForums.com sijui kinaitwaje ila tutaulizia twende huko huko.
 
Wana chungulia kwa mbali non NATO ally wewe unadhania vitasa vinavyotembea ni vya mchezo inaonekana usiku wamepiga pasi ndefu wameamka wakitafakari siku inaendaje na itaishaje
Side walk za dar kwa yule youtuber wao zimewaumiza mno,sie tukiwaambia humu uwa wanaona tunawaletea ligi ila huu mrundikano wa youtubers wao wakiwa dar unawafunua akili,dar ni kubwa zaidi ya naikundu na dar inajengeka kila sehemu tofauti na naikundu
 
2000 na zaidi h Dar pekee du kuna abiria wakutosha hata mwekezaji hawezikupata hasara ndio maana kila siku wakurugenzi wanaagiza vyuma piru
bongo abiria wengi sana angalia wasafiri wa leo kwa mabus na treni
SHABIBY
1726990996502.png

SGR TANZANIA
1726991055307.png

ABC UPPER COACH
1726991151610.png
 
Popote pale walipo tunawafuata hukohuko kuna mtu alishawahi kusema itafika mda tutabakia wenyewe humu tukiminyana wenyewe nimeamini mda sahihi umefika
Viboko tulivyowacharaza jana si mchezo, inatakiwa hawa waondoke humu tubaki pekeetu kudadadeki, na kama vp tutawafuata huko huko kwao kwenye ki platform jua kali sijui kinaitwa JamiiForums.com sijui kinaitwaje ila tutaulizia twende huko huko.
 
Waache waendelee kulala usingizi wa pono hapo kibera
Side walk za dar kwa yule youtuber wao zimewaumiza mno,sie tukiwaambia humu uwa wanaona tunawaletea ligi ila huu mrundikano wa youtubers wao wakiwa dar unawafunua akili,dar ni kubwa zaidi ya naikundu na dar inajengeka kila sehemu tofauti na naikundu
 
Dar ina watu milioni 7 mzee,ni wengi mno,ila kikubwa serikali ingeendeleza kwa viwanda na biashara moro na tanga kupunguza population ya dar,kuna miji kama rukwa,tabora,lindi hii miji mzee haina watu kabisa!
kaka huko rukwa,tabora na ukanda wake ni kupaacha hivyo maana panaaingiza Hela sana kupitia kilimo. Mpaka mwez may ufuta uliouzwa nje ni zaid ya trillion acha huko yawe maeneo ya kilimo ila tusambaze Barbara tu
Popote pale walipo tunawafuata hukohuko kuna mtu alishawahi kusema itafika mda tutabakia wenyewe humu tukiminyana wenyewe nimeamini mda sahihi umefika
Kinaitwa kenyantalk
 
Tatizo jingine mafarao wajui English wamekutana na Englishman lakini English haikuwasaidia chochote
Maniner, Bado tunaongea kuhusu nani ni mkali wa Boli East and Central Afrika? Yanga ndio timu pekee yenye magoli mengi hadi sasa CAF Champions League, ndugu zetu nao kesho wamalize kazi tumalize huu ubishi. Shezi taipu.
View attachment 3102483



 
Back
Top Bottom