Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

CBE kafa 6-0 huko.
Halafu Gormahia ndio ilitaka kucheza na sisi.
wamekula 3 tena jumla 6 😂😂😂😂
IMG_0276.jpeg
 
Miaka miwili nyuma wakenya wakiongozwa na Bushman chuchunge walikuwa wanapiga picha hilo eneo lenye BRT EMU like station wakisema nyuma ya CBD kuna tope, tukawa tunawaambia hapo inapita BRT na siku hazigandi, leo wanajionea wenyewe wakenya wenzao wanavyogombania kupiga picha eneo hilo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Youtuber wao yule dolphin 254 kawakimbiza kunyan humu leo,kila wakiiangalia ile video nguvu zimewahishia
 
Yanga miyeyusho mzee, hakuna wa kushindana naye hapa East, central, west and South Africa except mamelody pekee kule South Africa. Wapinzani wa Yanga kwa sasa wapo North Africa kwa baadhi ya timu tena chache hazifiki tatu.
Mamelodi keshachuja. Makocha waliopo Mamelodi ni michosho, wakikutana na Yanga wanapokea kipigo heavy!
 

Kinachowaponza wakenya ni kupenda shortcut katika maisha, kila kitu wanataka shortcut, sasa michezo hususan mpira wa miguu haunaga shortcut, ligi yao dhaifu lkn wanataka waamke wakute klabu zao zipo level moja na Tanzania, hiyo haiwezekani, sisi tuliwekeza kwenye soccer hususan kwenye vilabu vya soka, so daima hatuwezi kuwa sawa.

Mchezaji mmoja tu kama Aziz Ki mshahara wake unalipa mishahara ya wachezaji wote wa Gor Mahia na chenji inabaki, sasa hapo mtawezaje kuwa sawa, wachezaji wa Gor Mahia wanalala chini airport uje ufananishe na wachezaji wa Yanga wanaokodiwa hotel ya five star, wapi na wapi.

Wachezaji wa Yanga wameahidiwa na serikali kila goli moja milioni 5, wa Gor Mahia hata mishahara hawalipwi on time mnawwzaje kuwa sawa?
 
Back
Top Bottom