jumla ni trip nane tu bosi, maana treni zinazoanzia morogoro ni mbili kwenda na mbili kurudi kwa hiyo treni 4 na dom treni 4. kwa dodoma TRC wanafanya uzembe kwa sababu muda waliouweka sio rafiki kwa watu wanaokaa mbali ya dodoma au wale ambao hawana uwezo wa kukodi bodaboda. kuna abiria wanaotoka chamwino,kiteto, karatu, singida wote hao wanalazimika kuunga tu na mabasi na wengine kwa malori. ilipaswa hizo treni za moro zote zingekuwa zinaunga mpaka dom lakini kunakuwa na mabehewa spesho ya watu wa moro, kwa sababu ukitoa weekend tren zote za moro zinaenda nusu empty