ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,430
- 88,519
Zometoka Kundustan ๐๐๐๐
View: https://www.instagram.com/p/DAI4d_CtIEL/?igsh=em9zbnNlMzBvbGRy
View: https://www.instagram.com/p/DAI4d_CtIEL/?igsh=em9zbnNlMzBvbGRy
Tanzania is the only country in the history of AFCON with no single win. So why participate if you can't win games?Bushman Zambia ilitufunga? Congo ilitufunga? Btw sisi tulishiriki, nyie mshahau na mwakani tunashiriki tena nyie hamuendi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kipigo kingine kinakuja ๐ Mwaka mbaya sana kwa watufudenge ๐
View: https://www.instagram.com/reel/DABdkb_pGt1/?igsh=emJtNmRrOWppZGh5
Mimi kitu wananishangaza nayo. Mtanzania akipost food ya 120 bob wanamsifu vile anakula maisha lakini mkenya akipost bill ya 10k, wanamkashifu ati ni mshamba na pia umaskini unamsumbua. So kati ya 120 bob na 10k nani maskini?๐๐The concept of money doesn't exist in their brains.๐คฃ
Huna akili wewe, angalia Magonjwa Mtambuka kajiunga lini na Bushman kajiunga lini alafu piga hesabu nani humu jf, hesabu ndogo tu inakushinda.Kati ya mwenye 30k posts na 18k posts ni nani anayeshinda humu? Hunanga akili.
View attachment 3101074View attachment 3101075
As long as Niko na pesa kukuliko I don't care how long I spend on JF. Na kama inakuuma jinyonge ama uambie Moderator anitoe๐๐๐.Kazi ya kushinda JF masaa ishirini na nne kuandika utumbo "made in Kenya"๐๐
Wakenya wapo hovyo sana kwenye hesabu, no wonder wanafeli sn kwenye miradi, elimu yao ni kusomea masomo ya arts wawe wanasiasa waibe.Hii Mada hainihusu lakini kimsingi mwenye 18k post ni dhahiri anashinda humu,
Huyo bush boy amejiunga humu march 2021 na ana post 18k hii ni ndani ya miaka minne while mwenetu wa kibongo bwana Magonjwa Mtambuka amejiunga humu mwaka 2016 na ana post 30k, hiki ni kipindi cha miaka 8.
Kimsingi nduguyo Hana shughuli ya kufanya ni kuzurura tu humu JF then ikifika jioni afate matatu arejee kwene kibanda alichopanga akajifiche angoje kukuche. ๐๐๐
Ukijilinganisha na Mimi utakufa, wakati wewe umaskini inakumaliza Mimi nawachekesha hapa JF nilifanya investments. With a span of 4 days I have invested 60k. Najua wewe hata sparing 2k for investment huwezi๐๐Kimsingi nduguyo Hana shughuli ya kufanya ni kuzurura tu humu JF then ikifika jioni afate matatu arejee kwene kibanda alichopanga akajifiche angoje kukuche. ๐๐๐
Wewe Bushman huwezi kupinga ufukara wako, juzi tu hapa nilikuwa nakutesa mpaka unaenda ku download mipesa Google na ku claim ni zako, na ulikuwa hupendi kabisa ubishani wa pesa kwa kusema huwezi ku expose maisha yako humu, leo unacheza vicoba unapata visenti vya kukodi bedsitter eti una hela, everyone knows you here hata ufanyeje tunakujua history yako, umri mkubwa ulikuwa bado shule, pesa unatoa wapi wewe ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMimi kitu wananishangaza nayo. Manzania akipost food ya 120 bob wanamsifu vile anakula maisha lakini mkenya akipost bill ya 10k, wanamkashifu ati ni mshamba na pia umaskini unamsumbua. So kati ya 120 bob na 10k nani maskini?๐๐
cleantechnica.com
Huyu jamaa akishashiba chapoo na maharagwe huwa ana shida sana.๐ ๐ ๐ ๐๐๐Atasemaje ni spelling error wakat amerudia kuandika hvyo karibu mara tatu?๐คฃ
Watchman whatever Iโm spending in a day huezifikia. Pesa yote unapata kwa mwezi canโt manage my weekly expenditures ๐๐. Today I fueled 10k๐๐๐Wewe Bushman huwezi kupinga ufukara wako, juzi tu hapa nilikuwa nakutesa mpaka unaenda ku download mipesa Google na ku claim ni zako, na ulikuwa hupendi kabisa ubishani wa pesa kwa kusema huwezi ku expose maisha yako humu, leo unacheza vicoba unapata visenti vya kukodi bedsitter eti una hela, everyone knows you here hata ufanyeje tunakujua history yako, umri mkubwa ulikuwa bado shule, pesa unatoa wapi wewe ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Hafanyi kazi ya kubeba mizigo kama wewe. Hawezi kosa dakika mbili za kujibu fala akimquote. Kumbuke mpo wengi humu na Mkenya akiandika kitu mnamquote kama watu kumi.Hii Mada hainihusu lakini kimsingi mwenye 18k post ni dhahiri anashinda humu,
Huyo bush boy amejiunga humu march 2021 na ana post 18k hii ni ndani ya miaka minne while mwenetu wa kibongo bwana Magonjwa Mtambuka amejiunga humu mwaka 2016 na ana post 30k, hiki ni kipindi cha miaka 8.
Kimsingi nduguyo Hana shughuli ya kufanya ni kuzurura tu humu JF then ikifika jioni afate matatu arejee kwene kibanda alichopanga akajifiche angoje kukuche. ๐๐๐
Umenikumbusha Smocha. ๐คฃ ๐คฃMimi kitu wananishangaza nayo. Manzania akipost food ya 120 bob wanamsifu vile anakula maisha lakini mkenya akipost bill ya 10k, wanamkashifu ati ni mshamba na pia umaskini unamsumbua. So kati ya 120 bob na 10k nani maskini?๐๐
Bio nomenclature ndio nini? Wewe hakuna unachojua. Just go back to biology class๐๐๐คฃ๐คฃYeye sasa anayedai anajua hadi naming of bio nomenclature ๐๐๐๐๐.
Kwani unafanya Uber? ๐Watchman whatever Iโm spending in a day huezifikia. Pesa yote unapata kwa mwezi canโt manage my weekly expenditures ๐๐. Today I fueled 10k, asubuhi na narudi kufuel tena๐๐๐
View attachment 3101136