concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
hapa airport ishaenda inaonekana kuna mtu ashakula chake
kwakweri battle limeishaHii Battle imeshaisha, kwa sasa ni Mazungumzo baada ya habari.
Hakuna cha Maana Kundudwellers wanatueleza.
Wale ambao hawajawahi kutoka nje ya kibera eti wanaita Mabati rolling mill 😁
View: https://x.com/midlifecrisiske/status/1835764155355214257?t=oTaeMmj-DCDUkNSpkydpkQ&s=19
Yeah hata hela uliyoweka kwa saccos or bank can be affected by currency depreciation na central banks rates or economic downturn.Biashara there are high chances of it running at a loss. Watu wangapi wanawekeza mamilioni kwa biashara which later on the business collapses due to losses? MMF you will never experience loss.
Mimi sijui huo mjadala umetokea wapi bali I responded spontaneouslyWhat’s the difference between bus body fabrication and bus body building?
Hata hizo bonds mkuu ni shida pia. Mfano umeweka bond yako wakati ksh was 99 to a dollar na ksh ika depreciate to 150 to a dollar kama last time ilivyotokea wewe utapata faida gani hapo?And that’s why it’s safe either invest in Saccos, MMF, bonds, stock market, etc.
Biashara inaezakulamba vibaya sana.
Unaargue vitu za ujinga. Tulia and argue like someone with a brain. Mtu amekuonyesha kwa MPESA app amelipa pesa kiasi Fulani unainsist na receipt ndio ufanyie Nini? Alafu kwa hiyo hiyo app unakubaliana na balance yake yet unapinga alicholipia. Wacheni ufala
Nimeona Page ya Scania TanzaniaZa chini ni kwamba BRT inaleta hizi 👇👇 Scania marcoplo G7, route ya mbagala!🇹🇿🇹🇿
View attachment 3099904