ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hii nchi ina laana ya nani??😂😂😂
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1836317067613553142?s=46
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1836317067613553142?s=46
SGR na BRT natamani zitungiwe sheria kali kwa waaribifu.Huu mzigo lazima na wenyewe uje sababu ni same company, golden dragon walikua hawazalishi za urefu huu
View attachment 3100120View attachment 3100121View attachment 3100122View attachment 3100123
wakutunga hayupo kaka ndio shida 😂😂SGR na BRT natamani zitungiwe sheria kali kwa waaribifu.
Kweli, management na civilization ni vitu adimu sana kwa taasisi za serikali na wananchi ila nimekuja kufanya utafiti nikaona maintenence ndio issue, yaani serikalini mara nyingi hawana periodic service hata kama hitilafu sio kubwa, wenyewe wanataka waone vioo vyote na viti hakuna kabisa ndio wapeleke service, kwa wenzetu hata kama hakuna hitilafu inayoonekana kwa macho ni lazima property ifanyiwe maintenance na check-up kwa kufata ratiba.SGR na BRT natamani zitungiwe sheria kali kwa waaribifu.
Kipigo kingine kinakuja 😂 Mwaka mbaya sana kwa watufudenge 😂
View: https://www.instagram.com/reel/DABdkb_pGt1/?igsh=emJtNmRrOWppZGh5