Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sawa mimi nakubaliana nawewe lakini baada ya kugundua angeifuta ili kuonesha kuwa alikosea, hiyoo imemtolea credebility , then lazima ujue mifumo ya malipo baina nchi iko tofauti, kwenye auditing malipo yoyote lazima yambatane na credible receipt, kwa ile statement aliyoileta hapa no body can verify kuwa malipo yamefanyika , na electronic receipts mara nyingi huwa na barcode ambayo ukiscan itakuletea details zote za malipo ikiwamo tarehe mnunuzi, bidhaa nunuliwa, kwa hivyo tu ndo unaweza jidhirisha kuwa malipo yamefanyika kwa kile alichopresent bado kuna ukakasi wa kuamini kuwa yale yamefanyika
kwenye auditing malipo yoyote lazima yambatane na credible receipt,
Sasa unataka nikuonyeshe receipt nani atakuja kuniaudit? Auditing is done on the seller and they remained with their receipt, sasa mimi mbona unataka nikuonyeshe receipt?
kwa ile statement aliyoileta hapa no body can verify kuwa malipo yamefanyika , na electronic receipts mara nyingi huwa na barcode ambayo ukiscan itakuletea details zote za malipo ikiwamo tarehe mnunuzi, bidhaa nunuliwa, kwa hivyo tu ndo unaweza jidhirisha kuwa malipo yamefanyika kwa kile alichopresent bado kuna ukakasi wa kuamini kuwa yale yamefanyika
Bar code iko na details zangu and that’s why I covered it. So in short you don’t trust MPESA receipt?😂😂
 
medical allowance, house allowance , telephone allowance, electricity allowance hizo ni fringe benefits. mnaweza mkawa level moja ya misha labda letsay TJS mmoja akawa na fringe benefits na mwingine asiwe nazo.
na malipo ya mishahara yanapotoka hayaambatani na fringe benefits kwenye batch moja ya malipo.
Haya, tuoneshe polisi wa Vumbistan wanalipwa pesa ngapi tufunge mjadala.
 
Sasa unataka nikuonyeshe receipt nani atakuja kuniaudit? Auditing is done on the seller and they remained with their receipt, sasa mimi mbona unataka nikuonyeshe receipt?

Bar code iko na details zangu and that’s why I covered it. So in short you don’t trust MPESA receipt?😂😂
hakuna anayemfanyia mwenzie auditing hapa, ila nimechokuelekeza ni kuwa kwangu ili niamini risiti yyote lazima ni verify kila detail na kwasababu sina access ya mfumo wako the only thing ilikuwa barcode.
in auditing anything that cannot be verified beyond reasonable doubt is invalid. kwa naomba tu uichukulie hivyo, lakin siko hapa kutaka kujua hela zako so ishu ya risit yako tuifunge kwasabab huwez nilazimishe niamini na hatuko hapa kumtafuta mwizi wa hela ya serikali ila discussion
 
Biashara there are high chances of it running at a loss. Watu wangapi wanawekeza mamilioni kwa biashara which later on the business collapses due to losses? MMF you will never experience loss.
most ya wanaofanya biashara wakafeli wanakuwa na assumption kubwa na hawataki kuanza chini
 
hakuna anayemfanyia mwenzie auditing hapa, ila nimechokuelekeza ni kuwa kwangu ili niamini risiti yyote lazima ni verify kila detail na kwasababu sina access ya mfumo wako the only thing ilikuwa barcode.
in auditing anything that cannot be verified beyond reasonable doubt is invalid. kwa naomba tu uichukulie hivyo, lakin siko hapa kutaka kujua hela zako so ishu ya risit yako tuifunge kwasabab huwez nilazimishe niamini na hatuko hapa kumtafuta mwizi wa hela ya serikali ila discussion
Believe whatever you want😂😂🤣😂.
 
Kisumu

The municipal houses on the right side do be demolished and replaced with a 17 floors 18 towers.

1726669175150.jpeg
 
It didn’t end well with the South African😂😂.

The only vehicle in Africa nganya culture aka Matwana Culture.


View: https://x.com/Thelumusa_Nkosi/status/1835559546812563766

kuna kitu hapa hamjaelewana. natoa mfano wa mwanamke kuna demu wewe ukimuona unahisi kama uko kwa yesu hata kama ana mapengo utasema hakuna demu mzuri kama huyo, ila ukienda kwa mtu mwingine anamuona kama takataka. sasa kwa ishu ya nganya kwenu kenyans kwa sababu ni your culture lazima utaiona kuwa ni superb ila msouth ataona kama ni uchafu. so kwa issue nganya ni kile mtu anaprefer machoni pake.
 
Kisumu

The municipal houses on the right side do be demolished and replaced with a 17 floors 18 towers.

View attachment 3099677
Hii kisumu bhana 😂😂😂😂 imekuaje hii kisumu ikapata status of being the 3rd most developed city in Kenya.? It’s a very small village center. Au ni sababu za kisiasa, (kama sisi huku bongo kuipa Mbeya city status 😂😂)
 
Back
Top Bottom